Nimerudi tena kwa wale wadau wa ujasiriamali hasa hardware, transport, microfinance

Hakikisha kila siku unahifadhi fedha..(kuweka akiba_
Baada ya kufanya ujasriamalai wako
Kwa mfano wachoma mahindi kila siku waficha sh 12500xsiku 30=375,000
375,000x miezi 4=1,500,000...pesa hii unaweza kufanya biashara ingine ya kiwango cha juu kuliko unavyofikiri.
(hapa itategemea moyo wako wataka nini)
KWA UPANDE WA TRANSPORT.
nunua bodaboda daily ficha sh.20,000....kama kuna inayozidi weka pembeni kwa ajili ya service na kula na mambo mengine.
20,000x30(mwezi)=600,000
kwa mwaka utakuwa na sh.7,200,000
Hapa nunu bajaj na chenji inabaki......
Boda boda mpe dereva kwa mkataba wa 70,000 kwa wiki na baada ya mwaka unamuachia iwe yake.
=280,000x12=3,360,000
wakati huo huo wewe utakuwa unakomaa na bajaj na kuficha sh 35,000 deileex30=1050000x12=12,600,000+3,360,000=15,596,000......hapa waweza nunua noaha mpya ukaanza kusafiri mbali na makampuni kwa miktaba na kula vichwa.
karibu kwa maoni mbadala
 
Mkuu heshima yako!

Bado tunaendelea kukuomba utuwekeecya Hardware

Hardware pia inaweza gawanywa makundi kama matatu au zaidi, ipo ya vifaa vya ujenzi yaani 1. Tools km za selemala , nyundo, patasi, spanner za mechanics, screw misumari n.k 2. Building materials mabati, boards, cement, gypsum powder, wire mesh, doors n.k. 3. Wapo pia dealers and agents wanao deal na specific Items kubwa kubwa kama mawakala wa cement Twiga pekee, au Simba pekee , au dealer wa steel materials pekee km sq pipes, Angle Irons , steel sheet, Gs pipes, n.k

Kwa maana hiyo kila groups/ business zina characteristics zake tofauti na lingine SEMA wewe unalenga lipi ili tujadili ?

Pia ni bora kuwatahadharisha Hardware/building materials business kuna baadhi tu ya maeneo imevamiwa sana kiasi kwamba MARKET DEMAND IMEZIDIWA NA SUPPLY yaani wajasiriamali wamevutiwa sana na hii buz
 
kibali cha microfinance
Leseni ni baada ya mchakato wa BOT then wanatoa kibali kwa vizara ya biashara na viwanda ndio watakao kupa hiyo leseni, kwa zamani kikwazo kikubwa ilikuwa ni BOT wanakaa vikao vyao pia wana hitaji kuhakikisha kwamba unao uwezo wako binafsi wa kukopesha na sio kwa kukopa toka kwa mabenki mengine,
Kwa kuhakiki hilo wataomba bank statement zako n.k
 
KAKA LETE ZA TRANSPORT MAANA MM NATAKA NIWEKEZE HUKO

Mkuu muda nao kikwazo , typing nayo si mchezo naomba kama uko dar, au mwanza tunaweza wasiliana tukajadili naamin tutafika pazuri na utajifunza vingi physically
 
Mkuu Mimi Naona Uelezee Vyote Ulivyovitaja Yaani Upande Wa Hardware ... Transport Na Finance ...
Mkuu muda nao kikwazo , typing nayo si mchezo naomba kama uko dar, au mwanza tunaweza wasiliana tukajadili naamin tutafika pazuri na utajifunza vingi physically
 
shukran sana , lengo kuu ni kubadilishana Ideas na kuelimishana, kwa bidhaa sisi tuko kwenye Industry tofauti tofauti, sijui niweke za hardware au transport au finance ?
Nahitaji za hardware mkuu!!
 
Hardware pia inaweza gawanywa makundi kama matatu au zaidi, ipo ya vifaa vya ujenzi yaani 1. Tools km za selemala , nyundo, patasi, spanner za mechanics, screw misumari n.k 2. Building materials mabati, boards, cement, gypsum powder, wire mesh, doors n.k. 3. Wapo pia dealers and agents wanao deal na specific Items kubwa kubwa kama mawakala wa cement Twiga pekee, au Simba pekee , au dealer wa steel materials pekee km sq pipes, Angle Irons , steel sheet, Gs pipes, n.k

Kwa maana hiyo kila groups/ business zina characteristics zake tofauti na lingine SEMA wewe unalenga lipi ili tujadili ?

Pia ni bora kuwatahadharisha Hardware/building materials business kuna baadhi tu ya maeneo imevamiwa sana kiasi kwamba MARKET DEMAND IMEZIDIWA NA SUPPLY yaani wajasiriamali wamevutiwa sana na hii buz
Mimi ni Tools mkuu,
Ni ukweli kwamba biashara hii imengiliwa na watu wengi sana
 
Back
Top Bottom