Sasa namba yako mwenyewe unaisahau vipi?Nimepoteza password ya email, nimejaribu kutafuta nikaambiwa niweke namba ya Simu niliyoitumia kipindi nafungua email bahati mbaya namba pia nimeisahau.
Naomba msaada kwa wajuzi nifanyeje?
Kifupi, unataka kuingia kwenye account ya mtu mwingine.Nimepoteza password ya email, nimejaribu kutafuta nikaambiwa niweke namba ya Simu niliyoitumia kipindi nafungua email bahati mbaya namba pia nimeisahau.
Naomba msaada kwa wajuzi nifanyeje?