Nimepoteza mukanda wa kiuno...

mysteryman

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2011
Posts
1,080
Reaction score
395
Nimepoteza kipenzi cha muaba tanzania...nimepoteza mukanda wa kiuno......sio almasi sio dhahabu ni ishara ya usajili...jina lakee hidaya........dah hii nyimbo ni miongoni mwa nyimbo zinazonikumbusha mbali sana na huisi kulia kila nikiisikiliza kwa kweli.....r.i.p pepe kalle baba lao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…