DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,495
- 99,294
Pole Sana mkuu,Pole Sana mkuu kikubwa imejua Mtoto si wako bas ishi kwa amani lakn ushauri wangu huyo mwanamke hakufai achana nae kabisaa
Ngoja nikupe kisa changu kidogo
Mwaka 2009 ajira yangu ya kwanza nilipangiwa jiji moja huko kaskazn
Nikapata binti nikazama mapenzn baadaye akapata ujauzito nikahudumia vizur had mtoto anazaliwa nikapata likizo nikarud home huku nyuma Kuna njemba ilikuja kudai mtoto kuwa ni wake na mm n baba mlez TU sjui walikubaliana nn lakn yule binti hakunisimulia Kama yalitokea hayo nyuma majiran walinisimulia
Kumbe walioanga wanitoroke na mm nilishajua so Wala sikumbana na akatoroka kweli wakalea mtoto lakn kila mtoto anavyokuwa mtoto anachukua sura yangu kabisa mwishowe jamaa akamfukuza huko walikokimbilia kuwa mtoto s wake nikaitwa na wzaz wake wanisuluhushe binafs nilikataa kabisa na nilimkataa yule mtoto japo tulifanana kila kitu
Hivi navyoongea baada ya kujiridhisha na wazaz wangu kukubal kuwa ile n damu yetu Kaka yangu anaenda kumchukua dogo kumleta hapa jiji la makala kumbuka imepita miaka 11 toka haya yatokee
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hii Dunia ina mitihani sana.