Hawa wanawake kwakwel wanatesaYap kaolewa na msweeden yupo jiji la Malmo huko tunawasiliana pia
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Inauma mkuu nilikua naskiaga tu ila imenitokea yaaniSema nilipoteza hela nyingi sana.alinipiga operesheni laki 4.
Alafu mimba hewa.
Acha gharama nyingine za mtoto.
Kuna jamaa alikuwa kamuoa huyo mwanamke ndo aliiba namba yangu akanipigia na kuniambia ukweli.
Sikukasirika hata bali nilishukuru Mungu.
Hudumia tu..Mungu atakulipaHiyo ni misemo ya wahenga sema bora ningekua mezaa nae watoto wengi sasa huyu uzao wa kwanza aisee
Iliwahi karibia kunikuta,Kwakweli
Akiumia ndo anazidi kukomaa eehUlifanya kosa sana kumpiga. Sawa umempiga imesaidia nini?
Hapo una option mbili tu
1. Umsamehe ulee mtoto
2. Umuache
Ukiwa kwenye mahusiano na mwanamke, mchunguze kwanza na siyo kuparamia tu. Acha uumie kwasbb ndiyo uanaume huo.