Nimepigiwa simu na pspf....................

Nimepigiwa simu na pspf....................

Obama wa Bongo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
5,448
Reaction score
4,980
:sorry::sorry::sorry: msishituke sana sijapigiwa simu ya kuitwa kazini

Habari zenu wadau! jana asubuhi kuna mtu kanipigia simu 0716 74 19 96 anadai kuwa yeye ni afisa utumishi wa PSPF,anataka ni mtumie hela 150000 ili ani short list kwenye oral interview!

ilibidi nishangae kwa sababu sikufanya interview PSPF, japo niitwa kwenye post ya finance office(tax matter) sikuudhuria sababu nilikuwa nimesafiri kikazi!

sasa hivi tena kabla sijahamua kuandika hapa,ananiambia wote waliofanyiwa usahili hawajapata hizo alama,kwa CV yangu ni nzuri sana nimpe 300000 nipate kazi moja kwa moja. my take/ nahisi kuna udhaifu mkubwa kwa taasisi tunazoomba kazi kushindwa kuhifadhi taarifa za siri za waombaji mpaka matapeli wanaziapata au kuna ushirikiano na watumishi wasio waminifu

nimemwambia nitamreport mamlaka husika!aache kusumbua wananchi. so naileta hapa kama taadhari wanajamvi
 
Huyo ni mwizi tu mkuu,watu kibao wameshatapeliwa kwa mtindo huo!nadhan ni maafisa utumishi wanatoa bamba za sim za waomba ajira na kuwapa matapeli kisha wanagawana pesa!!
 
Lakini pspf nawo wanachangia yote ayo aiwezekani mda wote wanatumia kushoti list majina kwa ajili ya oral interview. wakati uo interview imefanyika kwa kutumia system ya kusaishwa na komputer inamana komputer nazo zinachukua muda kiasi hicho? AU UMEME UMEKATIKA!!!!!
 
PSPF wameishatangaza kuwa hawahusiki na hao watu na watu wawe makini sana na hao matapeli.tangazo lishatoka gazetini.
 
Mwizi mkubwa huyo, wala usithubutu
 
Mwizi anayetumia style ya kishamba sana. ni rahisi sana kumstukia.
 
pspf walikanusha kwene gazeti nahis 2 weeks ago. swali linakuja hao wanaopiga cm hizo document za wateja wanazipata wapi!?? au ni wenyewe wanataka naniii?? nishapata was kuhusu utendaji wao wa kaz
 
Utapeli umekuwa ,wingi sana hapa mjini


SIO KWELI KUWA MAKALIO YA SUFULIA HAYAOGOPI MOTO, SHIDA NI KWAMBA SUFULIA HAINA MIGUU YA KUKIMBILIA
 
Back
Top Bottom