Fredinandmarcel
Member
- May 29, 2013
- 25
- 8
Habar zenu wana jamiiForum nilikuwa naomba mnipe ushaur kuhusu hili-:Kuna siku wakat napiga simu nikakosea namba moja tu akapokea msichana kama mnavyojua vijana kupokea nikamwambia kuwa nakupenda akakataa kabisa baada ya kupita siku 2 nikampigia tena ndipo nilipomwambia tena akakubali nikamuuliza unaishi wapi akaniambia anaishi arusha me nikamwambia nipo dar nikamuuliza una mpenzi?akajibu alishakuwa nae ila ana miaka 3 mpaka sasa hajawahi kumwona na akipiga simu yake haipatikani nikaendelea tena kumuuliza unaishi na nani akajibu naishi na wazazi wangu ila mara kwa mara huwa zikapita wiki mbili akaniuliza unakuja lini nikamjibu nikipata nafasi nitakuja tukaendelea na mazungumzo ya kawaida siku zikaendelea kupita
Habar zenu wana jamiiForum nilikuwa naomba mnipe ushaur kuhusu hili-:Kuna siku wakat napiga simu nikakosea namba moja tu akapokea msichana kama mnavyojua vijana kupokea nikamwambia kuwa nakupenda akakataa kabisa baada ya kupita siku 2 nikampigia tena ndipo nilipomwambia tena akakubali nikamuuliza unaishi wapi akaniambia anaishi arusha me nikamwambia nipo dar nikamuuliza una mpenzi?akajibu alishakuwa nae ila ana miaka 3 mpaka sasa hajawahi kumwona na akipiga simu yake haipatikani nikaendelea tena kumuuliza unaishi na nani akajibu naishi na wazazi wangu ila mara kwa mara huwa zikapita wiki mbili akaniuliza unakuja lini nikamjibu nikipata nafasi nitakuja tukaendelea na mazungumzo ya kawaida siku zikaendelea kupita[/QUOTE
:A S 112:Ebu nenda kamalizie homework uliyopewa ya hesabu za K.K.S na K.D.S usitupotezee muda!
Hata mimi kuna mdada nahisi anawivu na huenda ananizimikia ila tu huwa hasemi na haishi kunifanyia visa.
Yaani kuna wakat nikimpigia simu mke wangu, huyo mdada huwa anapokea haraka haraka halafu huishia tu kusema "The subscriber you're calling is not available at present, please try again later"...
Mmh hizi mambo za kumpenda mtu usomjua sio...
niliwah kuchat na jamaa ana saut nzur yan nkitok nae napga pcha jamaa mrefu,handsome,ana body ya kiume kuja kumuona uwii yupo kama ndizi sukari,ana upara,kichwa chake kama cha chepe nyg zote kwisha!
haha! Dah pole!
Habar zenu wana jamiiForum nilikuwa naomba mnipe ushaur kuhusu hili-:Kuna siku wakat napiga simu nikakosea namba moja tu akapokea msichana kama mnavyojua vijana kupokea nikamwambia kuwa nakupenda akakataa kabisa baada ya kupita siku 2 nikampigia tena ndipo nilipomwambia tena akakubali nikamuuliza unaishi wapi akaniambia anaishi arusha me nikamwambia nipo dar nikamuuliza una mpenzi?akajibu alishakuwa nae ila ana miaka 3 mpaka sasa hajawahi kumwona na akipiga simu yake haipatikani nikaendelea tena kumuuliza unaishi na nani akajibu naishi na wazazi wangu ila mara kwa mara huwa zikapita wiki mbili akaniuliza unakuja lini nikamjibu nikipata nafasi nitakuja tukaendelea na mazungumzo ya kawaida siku zikaendelea kupita