Mupirocin
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,763
- 819
Wakuu nimeapata kazi ya kufundisha St Francis Ifakara mshahara wao si mbaya sana na wanatoa 15% house allowance.
wanaofahamu mazingira ya kzi hapo vp zaidi ya salary kuna any other benefits. na wakati wa kwenda shule najua wanakusomesha je masharti yao yakoje nisije jiingiza kwenye mikataba ambayo kujinasua itakuwa ngumu. kwa sasa nafanya kwenye shirika binafsi nako mshahara wa kawaida pamoja na top up.
Hawa wa shirika binafsi pia wanaweza kukusomesha ila utatakiwa kulipa deni kwa 5yrs baada ya kumaliza chuo. ambapo mazingira yake si mazuri sana coz pako busy sana. Sasa naomba ushauri kwa anayefahamu terms zao ili zinisaidie kwa maamuzi. natakiwa kuriport kzini March na kusaini mkataba.
Natanguliza shukrani
wanaofahamu mazingira ya kzi hapo vp zaidi ya salary kuna any other benefits. na wakati wa kwenda shule najua wanakusomesha je masharti yao yakoje nisije jiingiza kwenye mikataba ambayo kujinasua itakuwa ngumu. kwa sasa nafanya kwenye shirika binafsi nako mshahara wa kawaida pamoja na top up.
Hawa wa shirika binafsi pia wanaweza kukusomesha ila utatakiwa kulipa deni kwa 5yrs baada ya kumaliza chuo. ambapo mazingira yake si mazuri sana coz pako busy sana. Sasa naomba ushauri kwa anayefahamu terms zao ili zinisaidie kwa maamuzi. natakiwa kuriport kzini March na kusaini mkataba.
Natanguliza shukrani