ntabudjo
Member
- Jun 1, 2016
- 70
- 69
Habari za weekend wadau,
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu nimepata fursa ya kwenda England kujitolea katika nyanja mbali mbali kwa muda wa mwaka mmoja.
Kwa mwenye uzoefu wa haya mambo aje anipe ushauri nikienda huko mambo gani ya msingi nifanye ili safari yangu iwe ya mafanikio ya kiuchumi.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu nimepata fursa ya kwenda England kujitolea katika nyanja mbali mbali kwa muda wa mwaka mmoja.
Kwa mwenye uzoefu wa haya mambo aje anipe ushauri nikienda huko mambo gani ya msingi nifanye ili safari yangu iwe ya mafanikio ya kiuchumi.