Nimeota nimetoka meno mawili

Nimeota nimetoka meno mawili

Desierto

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
852
Reaction score
2,976
Jino moja la mbele na moja la pembeni yametoka tu yenyewe japo yalionekana kama yamelegea ghafla na kutoka

Je inamaana gani.
 
Jifunze,ndoto haisimuliwi hovyohovyo tu,tafuta mjuzi wa kweli akuagulie ndoto yako,kwasababu unaposimulia ndoto kwa wasio na elimu ya ndoto watakavyotafsiri hata kama ni uongo mara nyingi hutokea kweli na pengine ikawa na tafsri ya madhara(hii nimeitoa kwenye mafundisho ya uislamu kuhusu katazo la kusimulia watu ndoto kiholela)
 
Back
Top Bottom