Nimeota ndoto ya ajabu sana

Nimeota ndoto ya ajabu sana

Mwanamke niliyeanza nae mahusiano nimeota akiwa ndani kwangu amebadilika akawa nyoka anakimbilia chini ya ya mto wa kitanda na kujificha


Penzi bado bchi na nlikuwa na mpango wa kumuowa

Hi sijui ni tahadhari au ni ndoto tu ya kawaida
Kabla hujazulika katika jambo lako MUNGU atakutumia malaika akujuze kitakachotokea itoshe kusema hapo sipo salama
 
Mwanamke niliyeanza nae mahusiano nimeota akiwa ndani kwangu amebadilika akawa nyoka anakimbilia chini ya ya mto wa kitanda na kujificha


Penzi bado bchi na nlikuwa na mpango wa kumuowa

Hi sijui ni tahadhari au ni ndoto tu ya kawaida
Nyoka ndie aliewadanganya Adam na Eva pale bustanini wakala tunda walilokatazwa na Mungu,

Tunapoelekea sherehe za christmass na mwaka mpya 2025, jihadhari sana na wananawake na wasichana, ikiwa ni pamoja na huyo ulie muata,

that is an arlet,
kwamba usipokua makini na hao nyoka la sivyo utapigwa tukio na hao wanawake na litaharibu maisha yako kabisa na hutusahau maishani mwako.

pray harder gentleman :pedroP:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom