Nimeota ndoto naibiwa vitu vyangu

Nimeota ndoto naibiwa vitu vyangu

Choosen85

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2022
Posts
2,190
Reaction score
5,045
Wakuu tumtakie kheri na amani ndugu T.A.M LISSU mnyampaa ambaye amekataa kuhongwa ili asaliti nafsi yake na watanganyika ili tupate haki.

Usku wa kuamkia leo nimeota ndoto nipo kwenye tukio la watu wengi sana eneo moja lakini ukatokea wizi kwny chumba ninachokaa na wenzangu nikaibiwa vitu baadhi hilo likapta.

Mara nyngne tena nikaibiwa vitu vyote yan nikabaki na nguo nlizovaa tu kilichonishangaza akatokea dogo mmoja mtoto wa aunt yng kuna ktu alinambia skumbuki halafu akaondoka zake.

Na huyu dogo ni miongon mwa watu waliowahi nivurugia mambo yng ikiwemo mpk uhusiano wng na mzee wangu sina maana nina mtuhumu hapana ila nilishangaa tu kumuona kwny hili tukio.

WAKUU NAOMBENI MAONI YENU NI NN MAANA YAKE?
 
Wakuu tumtakie kheri na amani ndugu T.A.M LISSU mnyampaa ambaye amekataa kuhongwa ili asaliti nafsi yake na watanganyika ili tupate haki.

Usku wa kuamkia leo nimeota ndoto nipo kwenye tukio la watu wengi sana eneo moja lakini ukatokea wizi kwny chumba ninachokaa na wenzangu nikaibiwa vitu baadhi hilo likapta.

Mara nyngne tena nikaibiwa vitu vyote yan nikabaki na nguo nlizovaa tu kilichonishangaza akatokea dogo mmoja mtoto wa aunt yng kuna ktu alinambia skumbuki halafu akaondoka zake.

Na huyu dogo ni miongon mwa watu waliowahi nivurugia mambo yng ikiwemo mpk uhusiano wng na mzee wangu sina maana nina mtuhumu hapana ila nilishangaa tu kumuona kwny hili tukio.

WAKUU NAOMBENI MAONI YENU NI NN MAANA YAKE?
Hapo ni Mwenyezi Mungu ametuma malaika waje kusafisha banda lako ili yeye, Mungu, akuwekee vitu vipyaaaa na vya bei mbaya.
Sasa basi, unachotakiwa kufanya
nenda kanisani au msikitini ukatoe zaka. Isipungue 10m Tz shs. Kazi kwako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom