Nimeota: Ajira kutoka July 2019

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Sep 4, 2013
38,876
44,926
Katika hali iliyonishangaza sana, usiku wa kuamkia leo nimeota eti kwamba ajira nyingi sana zitatolewa mnamo July 2019, nilishtuka kiasi nikaamka ghafla, ni hayo tu.
 
Katika hali iliyonishangaza sana, usiku wa kuamkia leo nimeota eti kwamba ajira nyingi sana zitatolewa mnamo July 2019, nilishtuka kiasi nikaamka ghafla, ni hayo tu.
Hahahahaaaa kuna kijana mwenzangu alinambia hiyo habari toka mwaka Jana sasa watanzania kazi kwetu
 
Hiyo ndoto ni ya kweli.
Ninavyoijua Serikali hii watatoa kipind cha Push up 2019 kipind wana haha na kuwaza namna ya kupata kura. Ila kwa sass wanaviburi sana.

WATAKUITA MCHOCHEZI LKN UJUMBE UMEFIKA.
 
Back
Top Bottom