injinia mganga
Member
- Oct 13, 2016
- 94
- 21
Habari za wakati wana JF,
Nilichaguliwa.ualimu elimu ya msingi mwalimu nyerere memorial academy nilitaka kuhama kulingana na jinsi tunavyo fundishwa kidigree zaidi wakati hatuendani lakini nikajikuta nimeishafanya registration
Lakini jana wakati nimeingia profile ya NACTE nikakuta transfer request nikaclick ikakubali chuo nikajaza bustani then ikaniletea confirm nikajua itagoma kwa sababu sijaliipia cha kushangaza wakanitumia SMS ombi langu limepokelewa nitajulishwa ndani ya saa 48 toka tarehe 21
Hapa nawaza na niliishaanza masomo Mwalimu Nyerere
Duuh pressure inapanda inashuka
Nilichaguliwa.ualimu elimu ya msingi mwalimu nyerere memorial academy nilitaka kuhama kulingana na jinsi tunavyo fundishwa kidigree zaidi wakati hatuendani lakini nikajikuta nimeishafanya registration
Lakini jana wakati nimeingia profile ya NACTE nikakuta transfer request nikaclick ikakubali chuo nikajaza bustani then ikaniletea confirm nikajua itagoma kwa sababu sijaliipia cha kushangaza wakanitumia SMS ombi langu limepokelewa nitajulishwa ndani ya saa 48 toka tarehe 21
Hapa nawaza na niliishaanza masomo Mwalimu Nyerere
Duuh pressure inapanda inashuka