njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Kumbe kule Misri huo usajili mpya tulioambiwa kocha mzungu hajaupenda ni Moses phri na siyo Akpan
Kwa mwalimu keshaona Phiri mkali kuliko mzungu wake aliyemleta basi bora amchomeshe tu benchi na kwaweka kina kiyombo na boko ili Dejan aonekane bora zidi yao
Kiuhalisia team haina namba 9 wala sita
Kuhusu mazoezi ya wazi kuhudhuriwa na mimacho ya kila aina hapo Uzungu wa viongozi naona umeshika hatamu acha sisi wenye imani za kale tunyamaze maana tumezidi ushamba
Kufungwafungwa na utopolo hivi inauma sana lakini kuna wachezaji wengi simba hata hawajali kama Inonga nafikiri kwa sasa anahisi yuko kwenye show ya bongo fleva inabidi tuwachangamshe kwa matusi kidogo kwenye social media zao akili ziwarudi sawa
ONYO: bata bullets siyo wepesi hata tukivuka, waangola siyo wepesi au wazambia kwa mwendo huu wa subs za kocha kumtoa chama tutarajie maafa naona alidhani bado yuko pre season
Tunawazomeaga utopolo na points zao 0.5 za caf lakini mwaka huu wanawapiga wale vibonde wa south sudan wakipita kwa al hilal kuingia makundi wanaanza kusogea juu meanwhile kama mzahamzaha huu wa kumtenga Phiri na kumtegemea kiyombo na dejan utaendelea ,dah aiseee .he
Kwa mwalimu keshaona Phiri mkali kuliko mzungu wake aliyemleta basi bora amchomeshe tu benchi na kwaweka kina kiyombo na boko ili Dejan aonekane bora zidi yao
Kiuhalisia team haina namba 9 wala sita
Kuhusu mazoezi ya wazi kuhudhuriwa na mimacho ya kila aina hapo Uzungu wa viongozi naona umeshika hatamu acha sisi wenye imani za kale tunyamaze maana tumezidi ushamba
Kufungwafungwa na utopolo hivi inauma sana lakini kuna wachezaji wengi simba hata hawajali kama Inonga nafikiri kwa sasa anahisi yuko kwenye show ya bongo fleva inabidi tuwachangamshe kwa matusi kidogo kwenye social media zao akili ziwarudi sawa
ONYO: bata bullets siyo wepesi hata tukivuka, waangola siyo wepesi au wazambia kwa mwendo huu wa subs za kocha kumtoa chama tutarajie maafa naona alidhani bado yuko pre season
Tunawazomeaga utopolo na points zao 0.5 za caf lakini mwaka huu wanawapiga wale vibonde wa south sudan wakipita kwa al hilal kuingia makundi wanaanza kusogea juu meanwhile kama mzahamzaha huu wa kumtenga Phiri na kumtegemea kiyombo na dejan utaendelea ,dah aiseee .he