Nimenunua decoder used inanisumbua (inapoteza software)

nipo online

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2022
Posts
1,379
Reaction score
3,152
Ya DSTV mafundi wanadai kwa sababu ilitumia kitambo ndio maana ilipoteza software, inaandika booting waiting for some times.

kila mara booting, naomba ushauri nirudishe au kama inatibika, nimepiga simu niliko nunua kasema nisikilizie kwanza labda kitaretrive
 
Mkuu utawapatia shida wataalam kukusaidia. Ungeandika ni decoder ya kampuni gani kwa hapa nyumbani mf dstv,azam,startimes nk,model gani ya decoder husika na mengine useful.
 
Mkuu utawapatia shida wataalam kukusaidia. Ungeandika ni decoder ya kampuni gani kwa hapa nyumbani mf dstv,azam,startimes nk,model gani ya decoder husika na mengine useful.
DSTV boss
 
Uliuziwa shilingi ngap
 
Hizi si huwa zinapokea OTA Updates kwa Satellite... Vipi toka umeanza kuitumia haijawahi pokea OTA? Na je ulipoinunua ulijaribu kui factory reset?! Au aliekuuzia alkwambia usiireset 😄
 
Pole sana.

Baadhi ya vitu used humu JF ni majanga.

Nikishawahi kununua MiFi niliitumia kwa wiki 1 ikawa haikamati network.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…