Wiyelelee
JF-Expert Member
- Nov 9, 2012
- 1,071
- 347
Wana JF, habari za siku nyingi...
Napenda niseme ukweli wa moyo wangu. Leo nimebahatika kuonana na kuongea na Lisa! Nilivyomuona tu, moyo wangu ukaridhika kwamba macho yamelenga penye mvuto mkali!. Ahh mtoto wa watu kaumbika, mcheshi na anaushauri mzuri. Nilimsogelea ili nimfahamu vizuri (si unajua taaluma zetu hizi zinatupa advantage fulani!).
Baada ya kukaa nae kama dakika arobaini hivi, tukaongea mambo ya social media. Nikapata nafasi ya kuuliza social media anazozipenda na alinitajia JF kwamba yeye ni mchangiaji mada tu. Tukaongea mengi, hadi kufikia wakati wa ku share majina tunayoyatumia hapa JF.
Nilivyojitambulisha kwamba naitwa WIYELELE, Lisa hakuamini. Alijua li WIYELELE ni jitu fulani maana picha aliyokuwa nayo ya WIYELELE ni tofauti na alivyoniona! Amenichekesha sana hadi basi maana ni muda nilikua sijacheka!
Kusema kweli, nadhani ningekuwa na Lisa kama mke wangu, au mke wangu angekuwa kama Lisa, haa hizo kelel zote za msingeziskia! Angekuwa hajaolewa, yaani angekuwa ka "portable air conditioner ka Wiyelele". Lisa, aliyekupata ana bahati, na akutunze mtoto wa watu ulieumbika! Nimekuzimia!
Napenda niseme ukweli wa moyo wangu. Leo nimebahatika kuonana na kuongea na Lisa! Nilivyomuona tu, moyo wangu ukaridhika kwamba macho yamelenga penye mvuto mkali!. Ahh mtoto wa watu kaumbika, mcheshi na anaushauri mzuri. Nilimsogelea ili nimfahamu vizuri (si unajua taaluma zetu hizi zinatupa advantage fulani!).
Baada ya kukaa nae kama dakika arobaini hivi, tukaongea mambo ya social media. Nikapata nafasi ya kuuliza social media anazozipenda na alinitajia JF kwamba yeye ni mchangiaji mada tu. Tukaongea mengi, hadi kufikia wakati wa ku share majina tunayoyatumia hapa JF.
Nilivyojitambulisha kwamba naitwa WIYELELE, Lisa hakuamini. Alijua li WIYELELE ni jitu fulani maana picha aliyokuwa nayo ya WIYELELE ni tofauti na alivyoniona! Amenichekesha sana hadi basi maana ni muda nilikua sijacheka!
Kusema kweli, nadhani ningekuwa na Lisa kama mke wangu, au mke wangu angekuwa kama Lisa, haa hizo kelel zote za msingeziskia! Angekuwa hajaolewa, yaani angekuwa ka "portable air conditioner ka Wiyelele". Lisa, aliyekupata ana bahati, na akutunze mtoto wa watu ulieumbika! Nimekuzimia!