Nimemwambia simtaki tena, lakini....................!

Washa taa nyekundu kicwhani kwako kaka!mtu mwongo ni mbaya tena muuaji huo ni mwanzo tu wa kukudanganya.
 
mtoa mada ushauri uliopewa humu changanya na zakwako!!!!!!
 
piga chini bwana.kwanini mtu asitulize k yake.
kwanini ulishwe haramu? kwanini mtu asikitulize,piga chini tena kapime afya yako ujue moja..
Ndiyo maana nakupenda sana kwa maamuzi yaliyo wazi!
 
aisee napata shaka sana na jinsi mnvyotafakari mambo nkuweka hitimisho.kuna wengi tumewashuhudia wameoana wakiwa mabikra lakini walipoonja tu k na mbo wakawa vicheche nakutamani kuanza kuonja na wakawa balaa bin balaa je hawa unawakonclude vipi,naamni ni bora muonjaji onjaji atajua ladha ni ile ile hata akiona atabaki kuona kawaida tu,sio yule anatamani mh hivi huyu mwenye wowowo ana utamu gani???
 
nae ni binadamu si malaika
msamehe maana amejua kosa lake
naimani hatorudia,mpe nafasi nyingine!
 
Ndoa nyingi zinavunjika kwa kupuuzia dalili tunazoziona kipindi cha uchumba na kujifariji eti akinioa au nikimuoa atabadilika,thubutu!utaishia kujifunga katika jela utayoijutia maisha yako yote,kifupi keshakuonesha tabia mbaya mwanzoni chukua maamuzi magumu ambayo is up to you to decide!pole sana najua ni kiasi gani inauma!
 
Mwana piga chini huyo malaya, and for sure she is disqualified forthwith with the appeal rejected.
 

Follow your heart,lkn akwambie na uthibitishe alikuwa wapi!Asipothibitisha pasipo kuacha shaka alale mbele au ukubali ku-share!
 
we mfanye ---- met then jifunze tabia ya kutosamehe makosa yasiyo sameheka ni kujidanganya tu kwani hata MUNGU hajamsamehe shetani mpaka leo, ukimsamehe utajuta hata, also note that hata ukisamehewa ni kuuza ur freedom
 
Huyo anakucheat, suala moja tu hapo, tupa kule bhaaaaasi
 
Sio mwaminifu, atakusumbua siku za mbeleni, muite umuelezee nia yako ya kumuacha na umuache kweli
Siku 2 kaenda kula bata nje ya chuo ya tatu ndo anarudi lol?
 
Awe nyumba ndogo au uwe nyumba ndogo yake?! kama huwezi kumeza kimoja wapo... kikao kushnehi...:rockon:
 
piga chini bwana.kwanini mtu asitulize k yake.
kwanini ulishwe haramu? kwanini mtu asikitulize,piga chini tena kapime afya yako ujue moja..

mhhh...:A S-heart-2:
 
Kosa moja haliachi mke.Mkanye na umchunguze kama amebadilika.



Nooo... noooo big one..... FUKUZAAAAAA ...

Prostitute huyo.... piga chiniii fasta....
 
kama we ni msafi basi muache
Unajua kumuacha mtu bila ufafanuzi wa kosa alilotenda ni ujuha mwingine.Labda alidanganya kwa nia nzuri kaogopa kusema ukweli kwa hofu ya ucomplicator wako?
 
usimwache msameh mkalishe chini mpe darasa , kumwacha sio suluu kua umemaliza tatz hata kama ukipata mwingine itakua hivyohivyo maan wanawake mama yao hua mmoja angalia muda mlio tumia na ngharam ulizo tumia,
 

umeonja umelewa, ukinunua!!?.....utamwaga...
 
Mpe nafasi ajieleze machoni pako, then utaamua mwenyewe mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…