Nimemtongoza Mara mbili

Mkuu swala langu sio kutopenda kuitwa malaya (japo sio malaya), swala ni jinsi gani nitarudisha imani kwa huyu msichana, anaipende ka mi nnavyompenda.

time will tell,endeleeni taratibu you will build that trust

ila hata mimi if I was her ningekufikiria the same tu
 
Mkuu swala langu sio kutopenda kuitwa malaya (japo sio malaya), swala ni jinsi gani nitarudisha imani kwa huyu msichana, anaipende ka mi nnavyompenda.

Kinachowashangaza wengi ni kuwa imekuwaje umsahau huyo binti wakati ulikuwa unampenda, maana kitendo hiki hakitofautiana sana na kumsahahu mchumba au mke wako kabisa.
 
Kinachowashangaza wengi ni kuwa imekuwaje umsahau huyo binti wakati ulikuwa unampenda, maana kitendo hiki hakitofautiana sana na kumsahahu mchumba au mke wako kabisa.

Nilionana nae mara mbili tu. Yani wakati namtongoza mara ya pili, ilikua siku yangu ya pili kuonana nae baada ya kutokuwasiliana nae kwa miezi kadhaa.
 

Mkuu chukua tano! Umeongea point sana, kama dogo anazo kichwan atajiongeza.
 
Nilionana nae mara mbili tu. Yani wakati namtongoza mara ya pili, ilikua siku yangu ya pili kuonana nae baada ya kutokuwasiliana nae kwa miezi kadhaa.

Kweli haupo kwake ila unajifanyiza....fikiri msichana umempenda na namba ya simu kakupa then umekaa huko hata hukuwahi kumjulia hali leo unakuja na kumtongoza tena na anakupa namba tena japo alikufahamu.....hapa tayari inaonyesha wewe hujatulia na ulimtaka kimapenzi na siyo kumpenda kama usemavyo na ndio maana hakuwa moyoni mwako. Wanaojua kupenda jamaa yangu msichana akishaingia moyoni maisha yako yote utaikumbuka sura yake. Binafsi kuna msichana nilimpenda ila tukatengana kabla sijaeleza hisia za moyo wangu ila ni miaka 12 imepita sura yake bado naikumbuka kama nimemwona jana. Ushauri kama unampenda kwa dhati fuata ushauri wa my dada AshaDii hapo juu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…