Na asipomtafuta?Boresha hali ya maisha yako, atakutafuta tu
Huruma sio malezi wakati wewe unalia huku watu tunagongelea msumari waa motoSasa juzi nikamtumia meseji ya kumtakia wakati mwema kuniblock WhatsApp.
Dah imeniuma sana
Atajitafuta mwenyewe, halafu unajua nini km huna hela haaufanyi mapenzi unafanya ngono tuNa asipomtafuta?
🤣🤣🤣🤣🤣Atajitafuta mwenyewe, halafu unajua nini km huna hela haaufanyi mapenzi unafanya ngono tu
Mwache mwanetu asije kupunwa kiboya.Ulijaribu kutuma muamala😹😹
Atakuwa hajafikia viwango kwa muhusikaNa asipomtafuta?
Nampa mbinu mnakataaa ngoja alimwe tofari🧱😹😹😹😹Mwache mwanetu asije kupunwa kiboya.
Mungu nifundishe kunyamaza😇Mungu nifundishe kunyamaza
Ataliwa tu pesa yake na papa akoseNampa mbinu mnakataaa ngoja alimwe tofari🧱😹😹😹😹
Ili auziwe bidhaa gani?Ulijaribu kutuma muamala😹😹