colin_morgan
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,443
- 2,928
- Thread starter
-
- #21
We all know kuna baadhi ya makabila ni makorofi snaIvi kabila gani Ni zuri na Kabila gani Ni baya?.
Tuache huu ubaguzi kumbe hata huyo unaemuita mchepuko ulikuwa unangononae moyoni unamngo'ng'a? Hiyo ni tabia mbaya ndugu yangu.
kumbe uko naye muda mrefu mpaka umeujua mzunguko wake wa mwezi?Ushauri mzur mkuu ,asante , kiukwel kabila la huyu mchepuko kidog linanipa ukakasi kuzaa nalo
Hivyo nimempa mimba nilikua najua last period day yake so alikua ktk safe days chakushangaza kitu kimesoma daah
Kweli kifo cha nyani
I thought she was in safe daysWakati unafanya hadi unafika mshindo ukiwa 'pekupeku' ulitarajia nini mkuu
Hata , mm nimewaza hivi mkuu ila khaa ! Ananipa vitisho sio vya inchi hiikumbe uko naye muda mrefu mpaka umeujua mzunguko wake wa mwezi?
hapo umelikoroga, kata mawasiliano mwambie huhusiki unasubiri DNA
au kubali lipasuke tu kwa wife na wewe mruke yaani kuanzia sasa usimfuate tene likisanuka mwambie wife huyo mdada si size yako
Kutoa mimba ni UUAJI; wauaji hawatamuona Mungu. Hayo ni matokeo ya DHAMBI. Mkiri Yesu kama Bwana na mwokozi wa maisha yako UOKOKE upate uwezo wa kushinda dhambi.Kama kichwa cha habar hapo juu ,
Few weeks hivi nyuma nilipata kamchepuko na kwa bahat wife hakuwepo basi nikapanga kumeet nae
Basi siku ikafika nikapiga show mpaka kuchee
Baada ya sku chache mbele mchepuko unaniambia umenasa mimba yangu nikasema isiwe shida kwa vile sio dent ingawa anaishi home kao na wazazi nikasema ngoja nije kuhakikisha kwanza
Baada ya kuja nikapima kweli kitu ni positive nikawa relaxed ili asisome my emotional ili nimconvice ki siasa atoe ila daaah aisee
Demu kakataa kata kata anasema yee hawez kutoa katu , ubaya anajua km nimeoa na anapajua hadi ninapoishi
Sahivi ananipa vitisho lukuki maara ooh usiniambie kabisa kuhusu kutoa tusije kufikishana mbali mara nitakuja sku moja kuonana na mrs wako ajue kuna mwenzake yaan daah akili yangu imechoka
Kweli michepuko kokoto ni balaaa hapa pozi lote limeniishia nataman hata mda urudi nyuma
Naomba wale waliokutana na situation kama hii hemu nipeni ushauri kidogo mliikwepaje huu mkasa
Mchepuko mueleze maneno hayo pia. Uzinzi ni DHAMBI na hayo ndio matokeo yake.Kutoa mimba ni UUAJI; wauaji hawatamuona Mungu. Hayo ni matokeo ya DHAMBI. Mkiri Yesu kama Bwana na mwokozi wa maisha yako UOKOKE upate uwezo wa kushinda dhambi.
Hama mkuu..au anapajua hadi kazini?Hata , mm nimewaza hivi mkuu ila khaa ! Ananipa vitisho sio vya inchi hii
Ubaya anapajua ninapoishi hilo ndo kosa kubwa nimefanya
afu PCBHuu naona ni science mkuu maana si kwa mtiti huu ,
Mchepuko ndo mchepuo?!Write your reply... Mchepuko huo ni science au arts?
Tahadhari muhimu..Hata uzifwatile siku zake mwanamke kama anataka kukubebea mimba ataipata tu..Nilijua sku gani aliingia period ya last , kwaiyo nikawa nafatilia kalender yake so alikua kwenye safe days
Yaan daah hadi nashangaa hii mimba sku ile imeingiaje
Mtoto ana thamani ya kipekee sana haijalishi ni wa mchepuko au wa mkeo halali. Mambo ya ukabila yalishapitwa na wakati mkuu. Subiri mtoto, maisha yaendelee.Ushauri mzur mkuu ,asante , kiukwel kabila la huyu mchepuko kidog linanipa ukakasi kuzaa nalo
Hivyo nimempa mimba nilikua najua last period day yake so alikua ktk safe days chakushangaza kitu kimesoma daah
Kweli kifo cha nyani
Ni kweli, atagomba siku kadhaa baadae anazoea na maisha yanaendelea.Hili ndio la msingi.
Mwanamke ukimletea mtoto wa nje, atabwabwajaaaaa mwisho wa siku atatulia.
Akome tu kwann asitulie na mke wakeKwann ulipiga peku mkuu??..Hukufikiria hili before??
Kwann ulipiga peku mkuu??..Hukufikiria hili before??
Haha mumeo anafanya gazi sekta gn mkuu π π π πsubir azae ..mtunze...mtoto akishazaliwa mueleze mkeo....au mueleze mkeo ...siku yeye akija kumueleza tayari "HABARI ZAKE NINAZO"
what if wewe ni mume wangu afu sijui id yako huku jf
hahhaha aisee usije nieleza hii habari
kaa nalo pekee yako
Teh teh..Kutulia ni kipaji...We chepuka tu ila jua changamoto zake ni jinsi ya kuzikabiri..Akome tu kwann asitulie na mke wake
Sijakuelewa mkuujaman mimba inaingiaga mtu akivaa ndom ? was this a question or a statement ?