Mnafikiri kuna chamaana atakachoongea, Kwani Komba alishawahi ongea kitu cha maana Bungeni kwa manufaa ya Taifa?.
Kama wanavyo komeshwa watu wa lindi na Mtwara kwa Barabara chafu isiyopitika kirahisi.......kweli karne hii lindi unachukua siku mbili kufika huko...........Nihamishieni kwetu Musoma Bhana.......huku wabaki wenyewe waliozoea........Nimepita kariakoo leo, mtaa wa uhuru kuna libwawa likuuuuubwa la maji yenye vinyesi, makamasi, makohozi na kila aina ya uchafu. Nikasogea mbele pale jirani na Benjamin Mkapa Sekondari na yenyewe ni madimbwi na barabara mbovu kupita kawaida. Nikasogea hadi Akiba, ni hivyo hivyo. Dah! Serikali ya CCM imeamua kukomesha watanzania
Hiyo pete kubwa katoa wapi wakati Sheikh Yahya kafariki?
Maruhani huhitaji pete iwe mkononi 24/7. Ukiivua tu yatakukuta ya mzee mzima pale Jangwani
Nimemsikiliza Ridhiwan Kiukweli bado anashindwa kujenga hoja anajikita kwenye kejili kwa wapizani,
Eti angechangia bila kutaja upizani asingesikika
Unataja mataifa yanayo onyesha vifa vyao vya jeshi,
Sisi tunahoji mabilioni yanayotumika kufanya maonyesho wakati jimboni wanafunzi wanakaa chini,
Wakati jimboni hakuna kituo cha Afya,
Tunajiuliza fedha hizo zote zingetumika katika kuzuia maambukizi ya Dengue
Hiyo pete kubwa katoa wapi wakati Sheikh Yahya kafariki?
ridhiwani ameshaanza kutimiza ahadi zake kwenye jimbo lake au ilikuwa mtaji wa kupata kura
magufuri oyee na za pembezoni mwa jiji zinapukutika kama biscuitNimepita kariakoo leo, mtaa wa uhuru kuna libwawa likuuuuubwa la maji yenye vinyesi, makamasi, makohozi na kila aina ya uchafu. Nikasogea mbele pale jirani na Benjamin Mkapa Sekondari na yenyewe ni madimbwi na barabara mbovu kupita kawaida. Nikasogea hadi Akiba, ni hivyo hivyo. Dah! Serikali ya CCM imeamua kukomesha watanzania
Kwani baba yake ameshaanza kuzifanyia kazi ahadi zake za maisha bora kwa kila mtanzania? Hapo ni usanii wakifamilia kama kawaida.
Hiyo pete kubwa katoa wapi wakati Sheikh Yahya kafariki?
Mnafikiri kuna chamaana atakachoongea, Kwani Komba alishawahi ongea kitu cha maana Bungeni kwa manufaa ya Taifa?.
Hiyo pete kubwa katoa wapi wakati Sheikh Yahya kafariki?