Umeongea kitu cha kweli mkuu, maisha ya mahusiano ya siku hizi shetani anatawala kwa kiasi kikubwa sana hivyo kuomba uongozi wa Mungu na baraka ni jambo la maana kabisa kuliko pongezi maana anawezahisi kapata kumbe kapatikana. Ila pamoja nayote hayo kujitambua muhimu.
Kweli you were that desperate,mpaka umepost thread...
Uyo ulompata inabidi asome uzi huu ili ajue how much....
La sivyo akija ku-jump ship someone is gonna go insane...