Mtetezi.com
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 3,134
- 3,612
Mke wa mtu ni sumu.
Mungua amekuonesha, huyo ndo mkeo. Oa kabisa.Kichwa cha habari chahusika,mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30+ yani nakimbiza 40 Inshaalah.
Nilikuwa na rafiki yangu wa kike tulikuwa kama dada na kaka tuliwahi kufanya kazi office moja by then yeye kanizidi kidogo ana 40+ aliolewa miaka kumi na kitu iliyopita but mwaka huu mwezi wa pili mumewe alimwacha kwa kisingizio kuwa hazai!
Na walishahangaika sana kwa madaktari bingwa na waganga nguli sana but hawakuambulia chochote
Wahenga walisema "Akufaaye kwa dhiki ndio rafiki" nikaendelea kumpa moyo kuwa asijali Mungu yu pamoja naye but toka aachike nilikuwa naye karibu sana kumsaidia procedures za kugawa mali kimahakama.
Weekend moja kanipigia simu kuwa anaumwa kama naweza nimtembelee kufika kwake nilimkuta very bored and frustreted nikambembeleza kumbe hakuwa anaumwa bali upweke tu nikajikuta nakula uroda na huyu rafiki yangu mpendwa ambaye mda wote nimekuwa nikumuita dada na yeye akiniita kaka.
Baada ya mwezi mmoja si aanze kuumwa mara hiki mara kile Dr akamshauri kucheki na ujauzito kakutwa ni pregnant na sasa ni mwezi wa tatu.
Toka apevuke kafanya sex na wanaume wengi tu including mume wake but hajawahi conceive najiuliza ni nini kimefanya mpaka aconceive kwangu?
Wajuzi hebu nisaidieni hii imekaaje?
NakaziaMungua amekuonesha, huyo ndo mkeo. Oa kabisa.
[emoji3][emoji3]Mungua amekuonesha, huyo ndo mkeo. Oa kabisa.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Nakazia
Umetisha mkuu kwa ushauri wako, hapo ukiunganisha na signature yako basi mleta uzi atakua kafaidika sanaπππMpapatue tena mpate kingine na kingine afu kingune tena
Kichwa cha habari chahusika,mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30+ yani nakimbiza 40 Inshaalah.
Nilikuwa na rafiki yangu wa kike tulikuwa kama dada na kaka tuliwahi kufanya kazi office moja by then yeye kanizidi kidogo ana 40+ aliolewa miaka kumi na kitu iliyopita but mwaka huu mwezi wa pili/ February mumewe alimwacha kwa kisingizio kuwa hazai!
Na walishahangaika sana kwa madaktari bingwa na waganga nguli sana but hawakuambulia chochote
Wahenga walisema "Akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki" nikaendelea kumpa moyo kuwa asijali Mungu yu pamoja naye but toka aachike nilikuwa naye karibu sana kumsaidia procedures za kugawa mali kimahakama.
Weekend moja kanipigia simu kuwa anaumwa kama naweza nimtembelee kufika kwake nilimkuta very bored and frustreted nikambembeleza kumbe hakuwa anaumwa bali upweke tu nikajikuta nakula uroda na huyu rafiki yangu mpendwa ambaye mda wote nimekuwa nikumuita dada na yeye akiniita kaka.
Baada ya mwezi mmoja si aanze kuumwa mara hiki mara kile Dr akamshauri kucheki na ujauzito kakutwa ni pregnant na sasa ni mwezi wa tatu.
Toka apevuke kafanya sex na wanaume wengi tu including mume wake but hajawahi conceive najiuliza ni nini kimefanya mpaka aconceive kwangu?
Wajuzi hebu nisaidieni hii imekaaje?
Ulimpiga vingapiKichwa cha habari chahusika,mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30+ yani nakimbiza 40 Inshaalah.
Nilikuwa na rafiki yangu wa kike tulikuwa kama dada na kaka tuliwahi kufanya kazi office moja by then yeye kanizidi kidogo ana 40+ aliolewa miaka kumi na kitu iliyopita but mwaka huu mwezi wa pili/ February mumewe alimwacha kwa kisingizio kuwa hazai!
Na walishahangaika sana kwa madaktari bingwa na waganga nguli sana but hawakuambulia chochote
Wahenga walisema "Akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki" nikaendelea kumpa moyo kuwa asijali Mungu yu pamoja naye but toka aachike nilikuwa naye karibu sana kumsaidia procedures za kugawa mali kimahakama.
Weekend moja kanipigia simu kuwa anaumwa kama naweza nimtembelee kufika kwake nilimkuta very bored and frustreted nikambembeleza kumbe hakuwa anaumwa bali upweke tu nikajikuta nakula uroda na huyu rafiki yangu mpendwa ambaye mda wote nimekuwa nikumuita dada na yeye akiniita kaka.
Baada ya mwezi mmoja si aanze kuumwa mara hiki mara kile Dr akamshauri kucheki na ujauzito kakutwa ni pregnant na sasa ni mwezi wa tatu.
Toka apevuke kafanya sex na wanaume wengi tu including mume wake but hajawahi conceive najiuliza ni nini kimefanya mpaka aconceive kwangu?
Wajuzi hebu nisaidieni hii imekaaje?