Hebu tuchukulie kwamba umekwenda kusoma nje ya nchi, au umekwenda mbali sana na nyumbani kwako kikazi. Umekaa huko kwa miaka miwili . unaporudi, unakuta mkeo ni mjamzito! Hebu niambie ungefanya kitu gani?
Mi nilijilipua juu kwa juu kabla hata sijarudi. Inauma sana! But the inshu hutegemea sana na jinsi mawasiliano, jinsi unavyomhandle, unavyompa majamboz ingawa hayo nayo ni relative terms.
Unajua ukitaka kumukumu mwenzako jiulize kwanza wewe binafsi maisha yako hujawahi kucheat?then from there chukua hatua.akizaa na wewe weka mimba haraka kupunguza maumivu
Wewe huoni wadada wenzio wanavyoshadadia eti jamaa amsamehe…..na ukisoma ndani, nje, pamoja na katikati ya mstari utagundua kwamba hiyo kauli yangu ni kejeli (sarcasm).
Hebu tuchukulie kwamba umekwenda kusoma nje ya nchi, au umekwenda mbali sana na nyumbani kwako kikazi. Umekaa huko kwa miaka miwili . unaporudi, unakuta mkeo ni mjamzito! Hebu niambie ungefanya kitu gani?
Mhhh hapo hakuna kitu ni talaka tuu
Kwanza huyo mwanamke ana guts za kuendelea kunisubiri mpaka nije nimkute na hicho kitumbo.
Hata kama nje nilichakachua ila sikuleta huko mtoto
Sasa yeye anakula mpaka anashiba na kibend juu