Nimemkuta Kachora Tattoo sehem mbaya sana!!

Nimemkuta Kachora Tattoo sehem mbaya sana!!

hiden

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2015
Posts
376
Reaction score
691
Wakuu,
Kuna manzi tumedumu kwa miezi 4,
Kwa kipindi chote, jana ndo nimefanikiwa ku.....

Kwakipindi kirefy alikuwa ananibania sana, na nimegundua baada ya Janaa.

Ni hivi, huyu manzi kachora Tattoo ya love kwenye paja karibu na papuch kabisaa..

Baada ya game nilimwuliza nani alimchora na kwann alichora sehem hiyo?

Aliniambia alichorwa na mpenzi wake kipinndi hiko ni slay queen, na alikuwa kalewaaa....

Kiukweli, nilitaka nimuoe mwakan ila sasa hili linanisumbua....

Kuna ambae kakutana na haya?
 
Wakuu,
Kuna manzi tumedumu kwa miezi 4,
Kwa kipindi chote, jana ndo nimefanikiwa ku.....

Kwakipindi kirefy alikuwa ananibania sana, na nimegundua baada ya Janaa.

Ni hivi, huyu manzi kachora Tattoo ya love kwenye paja karibu na papuch kabisaa..

Baada ya game nilimwuliza nani alimchora na kwann alichora sehem hiyo?

Aliniambia alichorwa na mpenzi wake kipinndi hiko ni slay queen, na alikuwa kalewaaa....

Kiukweli, nilitaka nimuoe mwakan ila sasa hili linanisumbua....

Kuna ambae kakutana na haya?
Mkuu,
Kila mtu ana mapito yake, hata wewe unayo ya kwako tofauti ni kwamba mapito yako hayajaacha alama kama tattoo yake. Kumuacha sababu ya tattoo nadhani ni sababu dhaifu
 
Wakuu,
Kuna manzi tumedumu kwa miezi 4,
Kwa kipindi chote, jana ndo nimefanikiwa ku.....

Kwakipindi kirefy alikuwa ananibania sana, na nimegundua baada ya Janaa.

Ni hivi, huyu manzi kachora Tattoo ya love kwenye paja karibu na papuch kabisaa..

Baada ya game nilimwuliza nani alimchora na kwann alichora sehem hiyo?

Aliniambia alichorwa na mpenzi wake kipinndi hiko ni slay queen, na alikuwa kalewaaa....

Kiukweli, nilitaka nimuoe mwakan ila sasa hili linanisumbua....

Kuna ambae kakutana na haya?

MKUU,

WEKA PICHA YENYEWE KWANZA YA HICHO UNACHOKIZUNGUMZIA ILI NIKUPE USHAURI MUJARABU KABISA!!
 
Kawaida sana mkuu hasa kwa kizazi chenu. We unashangaa kachorwa kwenye paja wakati wengine wanachorwa kwenye tunda kabisa. Zaidi ushukuru huyo jamaa hakuandika "Godfrey passed here 2015 - 2017".

Anyway, huo si ugonjwa kama unampenda mpe confidence na msaidie apone huwezi jua waliachana vipi na ni yapi yalimpata huko.
 
Spiritually (kikristo) mtu anapochora tatoo anaingia kwenye covenant au agano ambalo linamfanya tabia na mwenendo wake ziendane agano aliloingia kwa kujua au kutokujua na ndiyo sababu mtu mwenye tatoo lazima atahakikisha inaonekana popote ilipo, hata mavazi yake atavaa yanayoonesha tatoo hata kama ipo kwenye t*ko.
Bahati mbaya wengi huchukulia kuwa ni kawaida hivyo hawachukua hatua ya kuombewa na kuvunja covenant. Ndiyo maana hata wanaokupa maoni wanakupa kwa kuchukulia kirahisi tu, jaribu kutafakari mtu ana ujasiri gani wa kutulia nankuchora tatoo karibu kabisa na sehemu za siri?

Sababu wewe ndo unamfahamu unaweza kuamua chochote ila una haki ya kufikiri mara mbili juu ya uhusiano wako haswaa mahusiano yenu na Mungu. Vinginevyo, utaikumbuka hii post.
 
Wewe ulikua unatafuta nini sehem mbaya sana?

Kama yeye ndio mwanamke wako wa kwanza, achana nae, ila endapo umeshawahi kuwa na wengine kabla, ongelea tabia na mambo mengine ila sio tatoo.

Kama imejificha kwani kila mtu ataiona?
 
Siku hizi zinafutika bila kuacha alama ndugu. Kaifute tu
 
Wakuu,
Kuna manzi tumedumu kwa miezi 4,
Kwa kipindi chote, jana ndo nimefanikiwa ku.....

Kwakipindi kirefy alikuwa ananibania sana, na nimegundua baada ya Janaa.

Ni hivi, huyu manzi kachora Tattoo ya love kwenye paja karibu na papuch kabisaa..

Baada ya game nilimwuliza nani alimchora na kwann alichora sehem hiyo?

Aliniambia alichorwa na mpenzi wake kipinndi hiko ni slay queen, na alikuwa kalewaaa....

Kiukweli, nilitaka nimuoe mwakan ila sasa hili linanisumbua....

Kuna ambae kakutana na haya?
Kapicha mkuu
 
Wakuu,
Kuna manzi tumedumu kwa miezi 4,
Kwa kipindi chote, jana ndo nimefanikiwa ku.....

Kwakipindi kirefy alikuwa ananibania sana, na nimegundua baada ya Janaa.

Ni hivi, huyu manzi kachora Tattoo ya love kwenye paja karibu na papuch kabisaa..

Baada ya game nilimwuliza nani alimchora na kwann alichora sehem hiyo?

Aliniambia alichorwa na mpenzi wake kipinndi hiko ni slay queen, na alikuwa kalewaaa....

Kiukweli, nilitaka nimuoe mwakan ila sasa hili linanisumbua....

Kuna ambae kakutana na haya?
Umeona wapi Benz/Bmw na magari makali yamebandikwa malebo ya hovyo?
ukinijibu ndio ujue kuwa hana thamani
 
Back
Top Bottom