Sanamu la michelin ndio yenyeweSanamu la Michelin
Hii ngoma nilikuwa mdogo ila ilihit had vjana walikuwa wnaipendaMama wa mambo iko huku!
Maisha yana kwenda kasi jamani.udongo unakula watu sana.
Taarabu ya kipindi cha nyuma ilikuwa nzuri na ilikwenda sambamba na bendi miaka hiyo.
Kuna kipindi taarabu ilikuwa na vijembe mpaka majirani wakawa wanagombana.
Nasma Hamisi kwenye nyimbo zake zilikuwa na mchuano na Khadija Kopa kwa vijembe.
kama mpaka leo angekuwepo hata khadija kopa angekuwa bado na taarabu yake ileile.
Sawa na Kanumba na Rey, Akudo na Fm Academia n.k
R.I.P
View attachment 2174404
Alikuwa bendi ya Muungano cultural troupe hawa jamaa walijua kuchezea instruments watakavyo kwanza wimbo tupu unavyoanza unapewa dakika kama mbili hivi usikilize ufundi wao wa kupiga instrumental then ndio vocals zinafuatia.Maisha yana kwenda kasi jamani.udongo unakula watu sana.
Taarabu ya kipindi cha nyuma ilikuwa nzuri na ilikwenda sambamba na bendi miaka hiyo.
Kuna kipindi taarabu ilikuwa na vijembe mpaka majirani wakawa wanagombana.
Nasma Hamisi kwenye nyimbo zake zilikuwa na mchuano na Khadija Kopa kwa vijembe.
kama mpaka leo angekuwepo hata khadija kopa angekuwa bado na taarabu yake ileile.
Sawa na Kanumba na Rey, Akudo na Fm Academia n.k
R.I.P
View attachment 2174404
Hata Mimi natamani kujua maana Enzi anatamba nilikuwa katotoHivi alikufa kwa maradhi gani huyo mama halafu kama namkumbuka Issa Matona
Eka imboutakuwa umezaliwa juzi.