Arsenalist1
Senior Member
- Jul 13, 2015
- 163
- 50
Habari za jioni,
Leo asubuhi naenda zangu job, niko kwenye foleni, imekaa kama 5min then mbele foleni ikaitwa then traffic kwa mbele akanambia niegeshe pembeni nikapuzia nikanyosha ila nilikuwa sina kosa lolote mbele akanifata na boda boda, nikaona ishakuwa so ikabidi nianze kukimbiza gari nikaingia mtaani bodaboda ikanifata baadae wakanikosa, nikabaki najilaumu why sijasimama wakati sina kosa?
Ila ningesimama labda angenipotezea 5min na nisingewahi taa.
Kama kuna traffic huku ndani ambaye anaweza kufukisha ujumbe awambie hawa mabwana wanatushosha sana, wawe wanangalia wapi pa kusimamisha gari, kwa siku unaweza kusimamishwa hata 3 times for check up.
Leo asubuhi naenda zangu job, niko kwenye foleni, imekaa kama 5min then mbele foleni ikaitwa then traffic kwa mbele akanambia niegeshe pembeni nikapuzia nikanyosha ila nilikuwa sina kosa lolote mbele akanifata na boda boda, nikaona ishakuwa so ikabidi nianze kukimbiza gari nikaingia mtaani bodaboda ikanifata baadae wakanikosa, nikabaki najilaumu why sijasimama wakati sina kosa?
Ila ningesimama labda angenipotezea 5min na nisingewahi taa.
Kama kuna traffic huku ndani ambaye anaweza kufukisha ujumbe awambie hawa mabwana wanatushosha sana, wawe wanangalia wapi pa kusimamisha gari, kwa siku unaweza kusimamishwa hata 3 times for check up.