Ray waniache
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 737
- 507
- Thread starter
- #21
hahaaaha kapank haruhusu tutumie jfUlikua North Korea hakuna access ya social media??
hahaaaha kapank haruhusu tutumie jfUlikua North Korea hakuna access ya social media??
hsante sanaKaribu tena
do hii hii mkuuKumbe ndio wewe na ile ID yako umeiacha nje ya nchi
14 nipo la 7vp dogo una miaka mingapi?
well said mkuuIshi maisha yako bwana wakati haupo Tanzania raisi alisema tusipangiane
Vizuri. Je, Homework umefanya? au leo mwalimu hakutoa14 nipo la 7
s unajua ticha kesho nitadoji kipindi hahaha homework tena@@@@Vizuri. Je, Homework umefanya? au leo mwalimu hakutoa
Basi itabidi ulale mapema ili kesho asubuhi umsaidie dada kusafisha vyombos unajua ticha kesho nitadoji kipindi hahaha homework tena@@@@
uchokoz hahahaaboy wa dar!
Na kudekiiBasi itabidi ulale mapema ili kesho asubuhi umsaidie dada kusafisha vyombo
nipooo nimejaa tele best yang acha tu watu kwa kufananisha idyako yang na ya rayvan wanadhan n mtu mmoja hahahaaaAaaaah Rayyoungr uppo..
Una jina kama langu ila mishe zako nyoko sana..
mishe vp mondray pacha wa mie kwenye jina hahahahaaAaaaah Rayyoungr uppo..
Una jina kama langu ila mishe zako nyoko sana..
nipooo nimejaa tele best yang acha tu watu wanafananisha id zetu na ile ya ray van hahahaaa
hujamboIshi maisha yako bwana wakati haupo Tanzania raisi alisema tusipangiane
Nilijua ni Mungu kumbe mungu anawezakuwa mzurinzur ni.mungu tu
ndiyo hahaaa kwann mkuuNilijua ni Mungu kumbe mungu anawezakuwa mzuri
Uwiiiiii!!!
Bebe rafiki Behaviourist njoo umuone 'shoga' ako karudi
Rayyoungr Mimi na Behaviourist tulikumiss
"shoga" ake" mhhhhUwiiiiii!!!
Bebe rafiki Behaviourist njoo umuone 'shoga' ako karudi
Rayyoungr Mimi na Behaviourist tulikumiss
Angalia usichafue hali ya hewa ukasababisha watu wafungulie swaumu zao bureI hope mko poa wakuu
Mimi ni nzima nilimiss jf
Nilikua nje kidogo ya nchii
Si unajua tenaaaa
Hahahahaa nimerud ndugu zangu
Nilikuta tag za kutosha wengine wakiniombea ban bureeeee wakati cjafanya kosa lolote
Nimejirekebisha spendag ujingaaaa mjueee
Nashauriwa nashaurika na kusikiliza wakubwa wang
Maana s kwa utundu ule wa kiwango cha lami
Bt now nimebadilika
Staki mtu anisababishie nipigwe ban buree
Na naapa kutovunja sheria za jf abadan
Nilimiss sana stor na habar za humu ndani
[HASHTAG]#Team[/HASHTAG] [HASHTAG]#ray[/HASHTAG] mpoo?
Hahaaaa boss wenu nimekuja
Tuchape kazi tulijenge taifa
Tushikimane tusonge mbele
Long live jf. tujivunie chetu god bless everybody