Nahisi tunatoka mtaa mmojaHii ilishatokea kijijini kwetu kuna mwanamke alikuwa kapika wali kwa ajili ya kumpeleke hawara yake kunako maeneo ( vichakani) sasa ikatokea mwanaume akastukia ishu alichokifanya akaupakua wali wote kwenye hotpot akawa amekunya humo kwenye hotpot afu akaurudishia huo wali kisha akakaa kimya na time zikafika mamaa akachukua hotpot lake akaenda kwenye mingo zake.....kilichotokea huko ni balaa tupu
Wapi huko mkuu......Nahisi tunatoka mtaa mmoja
Hahahaha mkuu unauliza hukumu mahakamani hahahaha vijana wa boda boda wepesi kuwapakia bure na kuomb namba za smHa ha ha halafu recently nimegundua kuwa boda boda ndio group linaloongoza kuokota embe chini ya miarobaini! Sinui tatizo ni nini!
bORA ULIJITOKEZA mapema, uliepusha shari.mmh uliharakisha mno usingejitokeza mapema ungemfatitia hadi kwa msela , hapo ushapoteza ushaidi
Kazi unayo.Kumbe ni tabia yake kupika chakula kingi kingine humpelekea hawara ake.Nilidodoshwa na marafiki zangu kwamba shemeji mda Wa mchana humpelekea msela chakula,msela huyo anammega shemeji,!nilipuuza sikuamini kutokana na jinsi nilivyo mzoea.Baada ya kuhisi badhii ya vitu vya ndani vinaisha gafla na ukilinganisha tunaishi wawili tu nikawa napata walakini,mfano mboga,huwa nanua nyama kg 10 inakaa kwenye frigi kipindi cha nyuma ilikuwa inatumika hata wiki mbili,nikaja nikagundua kwamba inatumika ndani ya wiki moja.Nilipogundua vitu kama hivyo ndipo nilipomvizia nakumfumania akiwa njiani na port la chakula,nilipomuhoji alinijibu kuna Dada kajifungua nilikuwa nampelekea chakula nilipomuomba twende kwa huyo Dada aliniambia leo hayupo lakini ameenda hospitali nilikuwa naenda kuweka tu na kurudi",nikamwambia basi rudi na hiko chakula baadae tutampekea.Naombeni ushauri hapa nawaza sijui nimfanyaje.
Kumbe ni tabia yake kupika chakula kingi kingine humpelekea hawara ake.Nilidodoshwa na marafiki zangu kwamba shemeji mda Wa mchana humpelekea msela chakula,msela huyo anammega shemeji,!nilipuuza sikuamini kutokana na jinsi nilivyo mzoea.Baada ya kuhisi badhii ya vitu vya ndani vinaisha gafla na ukilinganisha tunaishi wawili tu nikawa napata walakini,mfano mboga,huwa nanua nyama kg 10 inakaa kwenye frigi kipindi cha nyuma ilikuwa inatumika hata wiki mbili,nikaja nikagundua kwamba inatumika ndani ya wiki moja.Nilipogundua vitu kama hivyo ndipo nilipomvizia nakumfumania akiwa njiani na port la chakula,nilipomuhoji alinijibu kuna Dada kajifungua nilikuwa nampelekea chakula nilipomuomba twende kwa huyo Dada aliniambia leo hayupo lakini ameenda hospitali nilikuwa naenda kuweka tu na kurudi",nikamwambia basi rudi na hiko chakula baadae tutampekea.Naombeni ushauri hapa nawaza sijui nimfanyaje.