Nimelipia leo, TANESCO wanaweza kuweka umeme ndani ya siku 60!

Mbalamwezi1

JF-Expert Member
Dec 20, 2013
2,073
2,026
Leo nimelipia ili kupatiwa huduma ya umeme pale TANESCO Kigamboni wamenambia ndani ya siku 60 huduma itakuwa imekamilika!

Hebu wadau wenye xperience na hili suala, je? Hivi ni kweli watakamilisha ndani ya muda huo au ndo mpaka nianze tena kusumbuana nao kuwafuata ili watekeleze jukumu lao?
 
Subiria ndani ya miezi minne mpaka mitano umeme utakuwa umepata na ukipata Huduma hiyo karibu kwenye mateso ya service charge.Tanzania oyeeeee
 
bila kuwasumbua utafikisha mpaka siku 120 maana hao jamaa wanajua siasa kuliko wana siasa wenyewe
 
Nililipia mwaka jana July 2015 umeme nikapatiwa Januari 2016 tena baada ya kutishana na kusumbuana sana
 
Kuna urasimu wa hali ya juu sana pale,kunakiofisi kiko ngambo ya pili cha wachora ramani ndio kinatumika kupokea hongo ili uunganishiwe chapchap,kuna kajamaa hapo kanaitwa hassani ndio kana connect rushwa na survoyor mkuu na ofisini pia.
 
Leo nimelipia ili kupatiwa huduma ya umeme pale tanesco Kigamboni wamenambia ndani ya siku 60 huduma itakuwa imekamilika!ebu wadau wenye xperience na hili suala,je? ivi ni kweli watakamilisha ndani ya muda huo au ndo mpaka nianze tena kusumbuana nao kuwafuata ili watekeleze jukumu lao?
Inaonyesha umezoea kusumbuliwa. Kwa nini hitaki kiwaamini? Mambo yamebadilika.
 
Utakuwa na bahati sana. Nililipia nikahaidiwa siku 60 badala yake ikawa miezi 4. Ikawa nikienda ofisini kwao wananionyesha mita yangu ya Luku lakini naambiwa hawana nguzo, ilikuwa inahitajika nguzo moja tu. Ajabu rafiki yangu alilipia lakini baada ya mwezi bila hata kukumbushia akaletewa umeme..so unpredictable brother, be patient good things take time.
 
Sasaiv tanesco wapo fasta,kivumbi kwenye maji,mi maji nilikaa miezi sita ndo wakaja kuniunganishia,,banda langu lingine ilichukua miezi mitatu tena hadi nimenyoosha mkono ndo wakaja kuniunganishia maji,,,Dawasco ndio
Majanga
 
Utakuwa na bahati sana. Nililipia nikahaidiwa siku 60 badala yake ikawa miezi 4. Ikawa nikienda ofisini kwao wananionyesha mita yangu ya Luku lakini naambiwa hawana nguzo, ilikuwa inahitajika nguzo moja tu. Ajabu rafiki yangu alilipia lakini baada ya mwezi bila hata kukumbushia akaletewa umeme..so unpredictable brother, be patient good things take time.
Nashukuru mkuu ngoja niwe mpole
 
Utakuwa na bahati sana. Nililipia nikahaidiwa siku 60 badala yake ikawa miezi 4. Ikawa nikienda ofisini kwao wananionyesha mita yangu ya Luku lakini naambiwa hawana nguzo, ilikuwa inahitajika nguzo moja tu. Ajabu rafiki yangu alilipia lakini baada ya mwezi bila hata kukumbushia akaletewa umeme..so unpredictable brother, be patient good things take time.
Dah!hili jipu-tanesco cjui litatumbuliwa lini mana limeshaiva!
 
Inaonyesha umezoea kusumbuliwa. Kwa nini hitaki kiwaamini? Mambo yamebadilika.
Mkuu inanipa ugumu kuamini coz hata kupima kwnyw ilikuwa kwa mbinde mara saveya anasema nimpelekee usafiri hamna gari!dah kero tupu!
 
Kuna urasimu wa hali ya juu sana pale,kunakiofisi kiko ngambo ya pili cha wachora ramani ndio kinatumika kupokea hongo ili uunganishiwe chapchap,kuna kajamaa hapo kanaitwa hassani ndio kana connect rushwa na survoyor mkuu na ofisini pia.
Halafu kuna zeruzeru hapo nackia nae kwa kulamba tuvituvitu yumo!
 
Back
Top Bottom