princemikazo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2019
- 2,197
- 2,051
Kunduchi beach.
Md
Mdogo wangu shule umemaliza? Iweje mkutane kila Siku? Huna hata kazi?
Mnafanya popote hata kwenye daladala?
Ndio maana nvua hazinyeshi.
Rip ruge.
23 mkuu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kila nikienda Hosp UTI haikosekani sijui haiadhiri sehemu nyingine?Me ndo captain uvinza fc ️
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kila nikienda Hosp UTI haikosekani sijui haiadhiri sehemu nyingine?
Sent using Jamii Forums mobile app
Brothers and sisters habar zenu, Bila kupoteza muda wacha nende direct kwa topic. Toka nianze mahusiano na gal mpya tuna 7months now kila tukikutana ni mwendo wa romance daily na almost tunakutana kila siku
Na ni deep romance sometimes naweza sex nae kma romance zikikoleaa, I hate this of course ndomana nmekuja kwenu mnipe msaada na ushauri ili niweze kujizuiaa na hili coz nmekuwa addicted sana huwa sijali tupo sehem gani.
Nimetembea na madem tofauti but hyu hta sijui why inakua hivii sometimes hta yeye gal huwa anafeel kbsa but ananishauri isiwe daily lakin ndo sisikii wala sielew.
Nataka niweze kujicontrol coz sijawai kuwa hivi nmeona nakokwenda siko kabisa ndugu zangu.Nifanyaje nirud kwenye normal con
kila dem anamahamasa yake mkuu mwingine ni mtamu sana mdomoni yaani utadhani ana maji ya chemchem wa moto ndo ile passionate kiss ni hataree