Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,664
- 8,278
ipo urusi huko mkuuMbagara ndiyo wapi?
TUNAMKUMBUKA KILA SIKU.Tumekukumbuka
.
Ndio ujumbe nikiiona kwenye gari Moja Hapa Mitaa ya Mbagara.
.
Ni Kweli Tumekukumbuka Mzee Wetu?
View attachment 2199743
Kumbe warusi ni wapuuzi namna hiiipo urusi huko mkuu
acha tuKumbe warusi ni wapuuzi namna hii
Tumkumbuke alitamani kuzuwia hata kufikiri!!!Sasa kwa hali hii ya hii nchi na genge la mgaso mnaacheje kumkumbuka jpm.
#MaendeleoHayanaChama
Usipanic bado mapema sana
Kumbe watu wa JF wanaishi angani eeh???Magu anapingwa Happ jf tu mtaan anakubalika sana
Pale karbu na kaburi la Babu yakoMbagara ndiyo wapi?
Mzee wewe unaishi pori gani.Mbagara ndiyo wapi?
Unajipa matumaini tu ila ukweli ni huo alioandika huyo jamaa, mtaani ndipo kuna uhalisia, humu ni kelele tu sawa na zile za mange kipindi kile mnaambiwa tokeni mkaandamane!.Kumbe watu wa JF wanaishi angani eeh???
Kama hujui hapa watu wanaweza kufunguka ya moyoni coz ID ni feki, unadhani mtu anaweza mkosoa JPM au Mbowe kwenye public wakati hujui unayeongea naye ni mrengo gani?
Mzee wangu ni CHADEMA kindakindaki ila akiwa na wazee wenzake utamkuta anaisifia TANU na CCM!!
Hii ndio Tanzania, silent majority ndio Ina kura turufu.
Siishi mbagaraMzee wewe unaishi pori gani.