Daviie
JF-Expert Member
- May 20, 2016
- 1,293
- 1,462
Lakini hii quote wakati mwingine inawacost watu. Unaweza kuwa strong strong strong wale wanaoweza kukusaidia wakajua upo strong wakakuacha halafu strength inaisha wakati umeshabaki peke yako, umezidiwa na huna msaada. Hapa ndipo watu wanajiuaga halafu ndugu na jamaa wnabaki wanajiuliza why alipatwa nini mbona mbonaMimi huwa naitumia hi quote
View attachment 1265730