Atakua pia hajasikia Uswahilini Matola-Kosa la Marehemu.Mpiga Debe - Mzimuni Family, Msinitenge - Prof Jay, Sukari na Pilipili - SoloThang, kuna nyimbo nyingi kali za ukimwi bila kusahau ile ya ngwea ft TID -Bado Nimo
kabisa,huo wimbo ulikuwa wimbo wa taifa enzi hizo tv pekee ni ITVAtakua pia hajasikia Uswahilini Matola-Kosa la Marehemu.
Hahahaha shooting nyuma kuna kitambaa cha bluu kimetandazwa na ndiyo background hiyo hiyo.kabisa,huo wimbo ulikuwa wimbo wa taifa enzi hizo tv pekee ni ITV
Shooting ilikuwa inafanyika hapohapo studio na nyimbo zinakuwa za Taifa, sahivi video hadi ibambe sharti utumie Red Camera kwa Hanscana ama uende kwa Madiba, maisha yanaenda kasiHahahaha shooting nyuma kuna kitambaa cha bluu kimetandazwa na ndiyo background hiyo hiyo.
Jela ya Fm Academia (Wajela jela) na yenyewe shooting yao ilikua hivi.
Sana aisee, 2 eyez production na royal production ndiyo walikua wanashindana.Shooting ilikuwa inafanyika hapohapo studio na nyimbo zinakuwa za Taifa, sahivi video hadi ibambe sharti utumie Red Camera kwa Hanscana ama uende kwa Madiba, maisha yanaenda kasi
Ongezea na hizi;Mpiga Debe - Mzimuni Family, Msinitenge - Prof Jay, Sukari na Pilipili - SoloThang, kuna nyimbo nyingi kali za ukimwi bila kusahau ile ya ngwea ft TID -Bado Nimo
Huo ulikuja baadaye...Zaidi yako aliyoimba na Joslin ndo ilimtoahuo ndio wimbo uliomtoa kipindi hicho
Si ulitaka chai chai wa wanaume family nadhani kama nakumbuka vizuri..Atakua pia hajasikia Uswahilini Matola-Kosa la Marehemu.
Mkuu nilisema kwangu mimi...that's means kila mtu Ana mtazamo wake.Mpiga Debe - Mzimuni Family, Msinitenge - Prof Jay, Sukari na Pilipili - SoloThang, kuna nyimbo nyingi kali za ukimwi bila kusahau ile ya ngwea ft TID -Bado Nimo
Amekula ujana...mwishowe ujana umemrudia...umemla yeyeMwache ale ujana
"Mi napunguza maasi napunguza visasi narudi kwako kwa kasi baba"ile nyingine aliimba"haki ya Mungu natubu naacha mavurugu"saivi angetoa nyingine atubu aache poda
Watu walitaka Joh Makini ashinde kwa kipindi kileHii nyimbo aliitoa baada ya kuchukua tuzo mbili za hip hop kwenye KTMA na watu kumdisi sana kuwa hakustahili kwa kuwa hakuwa hajulikani sana. Jibu lake ndo hilo 'MMENISOMA'
Ile freestyle ya matusi mazito mazito hujaikumbuka? Uhai, mafanikio na afya huwa vinatupumbaza sana waja tunasahau kavitoa nani!View attachment 453493
Chid Benz
Mkali toka ILALAAAAA dah amenikumbusha mashairi ya HIT SONG Mmenisoma.
Ndani ya ngoma kuna sehemu CHUMA ana ghani.... "mwenye dawa mfukoni nyonga tumeze".
Pia mbele kidogo anasema "hawezi kujibana, nataka ni ule ujana kwa nia njema bila kufanya laana.
Kinga madhubuti na kuepuka vishawishi kwani anajua akiteleza ANA ANGUKIA MAZISHI"
Chid anasema ruka utakavyo, jiachie uwezavyo ila JALI UHAI MARA NYINGI UONAVYO!... baadaye anatuasa hivi "Mkumbushe Mwenzio kama hujapatana nae, kama somo halimwingii MPOTEZEE achana nae kisha ana malizia kwa kusema JIACHIE RUKA MAJOKA, RUKA STYLE ZOTE UNAZO PENDA, UWANJA WAKO, MUDA WAKO CHEZA VILE UNAVYOWEZA, Ila DUNIA CHAFU KUWA MWANGALIFU USIFUATE MGUU UNAPOKWENDA.
Ubeti mwingine ana anza hivi "akili ishalegea, wengi wanapotea hasa waliofumba macho wakahisi wanatembea, maneno yao UTASIKIA NA_TAKE CARE
Mvuta Bangi ana kamatwa!
Mnywa gongo anakamatwa
Kwanini Watumia madawa ya kulevya
Wasikamatwe?
Nimeichomoa Facebook
Brother huu wimbo wa Mpiga Debe unao unisambazie upendo Mkuu?Mpiga Debe - Mzimuni Family, Msinitenge - Prof Jay, Sukari na Pilipili - SoloThang, kuna nyimbo nyingi kali za ukimwi bila kusahau ile ya ngwea ft TID -Bado Nimo