Nimekuchezea au tumechezeana ?

Nimekuchezea au tumechezeana ?

Nyamalapa

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
211
Reaction score
470
Kuna hii tabia ya wakina dada kusema kwamba wanaume tumewachezea pindi tu mapenzi yanapofika mwisho.Kimsingi hii haiko sawa kabisa mana ninavyoamini sote tumechezeana, muda uliopoteza wewe ni sawa na muda niliopoteza mimi pindi tulipokua kwenye mahusiano.

Kama nilikuchezea mbona pesa zangu ulikua unapokea nilipokua nakurushia kwa njia ya simu, kana kwamba haitoshi tulipokua kwenye ulimwengu wa sita kwa sita mbona ulikua unasema "tamuuuuu".Dada zetu sio kila mahusiano lazima yaishie kwenye ndoa, nyingine ni tuition tu za kukuimalisha ili pindi utakapoingia kwenye ndoa uwe strong kuhimili mikikimikiki ya ndoa yako.

Muache tabia ya kulalamika kwamba mmechezewa na kupotezewa muda wakati sote kila mmoja kwa wakati wake alipoteza muda wake katika hayo mahusiano.

Natumai dada zangu mmenielewa kwa haya machache
 
Wanasema wamechezewa kwa kuwa Wasichana wengi umri ukisogea kabla hajaolewa anaona kama kaisogelea expire date.

Chukua mfano;
Umeanza mahusiano ana 28 yrs, kisha umuache ana 31yrs;
Hapo lazima akulaumu mno.
 
kama una kibamia hlf ye bwawa mlikuwa mnachezeana, kama una mhogo wa jang'ombe bc umemchezea.
 
Wanasema wamechezewa kwa kuwa Wasichana wengi umri ukisogea kabla hajaolewa anaona kama kaisogelea expire date.

Chukua mfano;
Umeanza mahusiano ana 28 yrs, kisha umuache ana 31yrs;
Hapo lazima akulaumu mno.
 
Back
Top Bottom