Nkurukumbi
Senior Member
- Sep 6, 2013
- 196
- 78
Nilitendwa sana nikawachukia wanawake nikaapa sitaoa tena. Lakini kutokana na mastress ya maisha, kazi na ushauri wa ndugu, jamaa na marafiki nimeona nimtafute wa kumuoa kwa kuanzia hapa jamii forums. awe na umri 28 kwenda chini, elimu ya chuo chochote, awe Dar es salaam au mikoa jirani. aliye tayari njoo pm.