Nimekosea?


Hivi usichana unaosemwa hapa ni upi wadau??????
Usichana mi najua ni bikra ambayo wewe ulishaipoteza tena tangu ukiwa 13.
Find other words to tell us ur story.
 
Hap chenga bi dada!
 
Hivi usichana unaosemwa hapa ni upi wadau??????
Usichana mi najua ni bikra ambayo wewe ulishaipoteza tena tangu ukiwa 13.
Find other words to tell us ur story.

Ulikuwepo?
 
Ok tunaendelea....PART 2:
....nikamwambia kwani wewe unataka lini. Akashangaa. Alidhani nimekubali kirahisi sana. In short akawa surprised.
Akaanza kujichekesha, akadai niache masihara eti anaipenda kweli.
Nikamwambia ni kweli sikutanii.
Jamaa akahisi labda kuna kamchezo nataka kumchezea. Akasema mimi ndio nipendekeze siku, mahala na wakati.
Nikamwambia "kwako tu", tukaagana.
Mpaka leo sijawahi kukutana nae tena kwenye lunch wala breakfast. Nikiulizia, naambiwa huwa anakuja kimachale machale, nadhani ananikwepa.
Swali, Huyu mtu ni kweli ananipenda? Nimkubalie?
Teheeeee
 
Duh! Kumbe hivi ndio wakubwa mnavyoomba papuchi!!! "Mpenzi utanipa lini?" Hahahahaaaa
 
stori enyewe c naifahamu vizuri ngoja nimalize k.u.n.y.a nije niendeleze.........................
 
wewe ndo unayejitambua???????????? kama hata picha huelewi inamaanisha nini kujitambua gani huko?
 

mkubali kimachale machale na wewe
 

Kwa hiyo ww hukutaka kumpa kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…