Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Wanabodi.
Si wanasiasa , si wafanyabiashara , si wafanyakazi kwenye sekta za umma na binafsi , karibu wote wametoboa kwa magumashi ; rushwa , zengwe , uchawi , kujuana / kufahamiana , mazindiko , makafara , figisu za hapa na pale...
Nafasi nyingi za juu wengi wamechanjwa chale makalioni.. wengi wamepoteza ndugu wa damu.
Mwenzangu na mimi "Bwana Asifiwe ...milele amina " tutasubiri sana mpaka vyeti vitaliwa na mchwa. Asilimia ndogo sana wanatoboa.
Watu wana hirizi makalioni ama kwenye makoti yao na huko maofisini ndo usiseme kuna mafataki ya kila aina. Ulinzi kila mahali.
Si wanasiasa , si wafanyabiashara , si wafanyakazi kwenye sekta za umma na binafsi , karibu wote wametoboa kwa magumashi ; rushwa , zengwe , uchawi , kujuana / kufahamiana , mazindiko , makafara , figisu za hapa na pale...
Nafasi nyingi za juu wengi wamechanjwa chale makalioni.. wengi wamepoteza ndugu wa damu.
Mwenzangu na mimi "Bwana Asifiwe ...milele amina " tutasubiri sana mpaka vyeti vitaliwa na mchwa. Asilimia ndogo sana wanatoboa.
Watu wana hirizi makalioni ama kwenye makoti yao na huko maofisini ndo usiseme kuna mafataki ya kila aina. Ulinzi kila mahali.