Stevenbee
JF-Expert Member
- Oct 16, 2016
- 365
- 449
Naombeni kufahamishwa Account yangu inaniandikia YOU ARE NOT ALLOCATED LOAN IN A YEAR OF 2016/2017 AT FIRST BANCH
Je hii ni kwamba nimekosa kabisa au kuna matumaini ya kupata mkopo hapa???je utaratibu wa banch 1..2...3....utakuepo? mnijuze kabla sijafanya maamuzi hapa chuo tafadhari sana.
Jana saa 01:40 mchana/ jioni
Bodi ya Mikopo
Kuna batch zimeendelea kutolewa hadi juzi juma tano na majina haya yanatumwa mojakwamoja vyuoni hatujayaweka kwenye mtandao
Leo saa 08:06 Asubuhi · Imetumwa kutoka kwenye Wavuti
Je hii ni kwamba nimekosa kabisa au kuna matumaini ya kupata mkopo hapa???je utaratibu wa banch 1..2...3....utakuepo? mnijuze kabla sijafanya maamuzi hapa chuo tafadhari sana.
Jana saa 01:40 mchana/ jioni
Bodi ya Mikopo
Kuna batch zimeendelea kutolewa hadi juzi juma tano na majina haya yanatumwa mojakwamoja vyuoni hatujayaweka kwenye mtandao
Leo saa 08:06 Asubuhi · Imetumwa kutoka kwenye Wavuti