Mi mwenyewe muhanga wa apoMNMA 151 only
sio ww tu Mkuu ata mm mwenyew nikiangalia n yale yale tu.
Not allocated.
Mbona unaleta uchaw hadharan sasa .wewe bora ukose una nyodo sana, na inaonekana unaweza kuwaringia wenzako chuo
Ndio cha kushangaza yan mchuo nilipo kua mm mpaka leo hawajabandikaMbaya zaidi hata uko chuo majina hayapo sasa cjui kuna baadhi ya vyuo tu
kwan tumekosa nin watoto wa poor peasantNdo walinijibu hvo wadau ila ndo cjajua wawo wamesema majina ypo na wameanza kurelease some names vyuoni na sio mtandaoni