Yelawolf49
Member
- Sep 20, 2017
- 73
- 65
Majina tu yake ukicheki watu760 huko ni kibao heslb waliita 167 tuuu eGA najua tutakuwa kama 400 ivi ila ntakomaaaa mpka mwishoKama mimi nimeapply zote,Kwa hiyo kumbe unaweza kuahirisha ukangojea zingine? Nyomi umejuaje mkuu?
eGA tegemea zaid ya uliyoyaona hapoKwa nyomi ile ngoja nsubiri interview ya sys developer ya eGA
Post ya sys developer walaa watu 400 flani tuu afu tutakao ibuka ni 200 flanieGA tegemea zaid ya uliyoyaona hapo
Mzee unajua na mshahara wa HESHE
Mkuu embu nipe hints za kada ya HR kidogo kwa TRCmshahara mzuri hapo ushauri wangu written sijui maana siko kada iyo ila usisahau kusoma research,kingine kabla ya kuingi oral au sasa kariri zile job duties and responsibilities kama zilivyo kweny tangazo .kingine omba mungu lolote laweza kutokea my experience dk 40 paper unaweza shangaa 37 washakusanya usije ukabaki unashngaa .ukiambiwa start we fanya haraka unavyojua usipige jicho pembeni kuepuka kesi za ovyo ni aibu
last fanya usiwe na doubt sijui kuna watu wameandaliwa, sijui watu wengi fanya yako then sepa zali la mentali lipo
Umepiga oral leo nn mzeeDaa kwakweli interview ni siku ulivyoamka kama mtihani achilia mbali maandalizi YAKO.wengi wanaijua hiyo KAZI practically but kwenye oral wengi wanaanguka.mifumo ya interview tanzania ni kufeli tu na si vingine
Daa kwakweli interview ni siku ulivyoamka kama mtihani achilia mbali maandalizi YAKO.wengi wanaijua hiyo KAZI practically but kwenye oral wengi wanaanguka.mifumo ya interview tanzania ni kufeli tu na si vingine
🤣🤣🤣🤣Asee mbona kama nafasi za eGa zishajazwa Before interview
Ohoo watu si watu yakhee🤣🤣🤣🤣
Haya sasa majina yashatoka ya EGA angalia sasa nyomi Kama loteKwa nyomi ile ngoja nsubiri interview ya sys developer ya eGA
Yametoka lini mkuu?Haya sasa majina yashatoka ya EGA angalia sasa nyomi Kama lote
Post ya developer tuko wachache kama kawaida wakiibuka nusu ni just 80 people roughly ningeenda sema nshaitwa kibaruaniHaya sasa majina yashatoka ya EGA angalia sasa nyomi Kama lote
Jana nenda ajira poartl utayakutaYametoka lini mkuu?
Hongera ndugu piga kazPost ya developer tuko wachache kama kawaida wakiibuka nusu ni just 80 people roughly ningeenda sema nshaitwa kibaruani
Ulisahau kutapatia mrejesho, vipi ulifaulu?