Yelawolf49
Member
- Sep 20, 2017
- 73
- 65
Majina tu yake ukicheki watu760 huko ni kibao heslb waliita 167 tuuu eGA najua tutakuwa kama 400 ivi ila ntakomaaaa mpka mwishoKama mimi nimeapply zote,Kwa hiyo kumbe unaweza kuahirisha ukangojea zingine? Nyomi umejuaje mkuu?