Unless wewe ni mhaya, vinginevyo I can bet huwezi kufaulu huo usaili hata kidogo! Yaani wewe bila aibu neno Usaili unaandika Usahili, na unategemea kushinda huo usaili kweli? Serious? Kwahiyo wewe nawe una First Class degree? Au ni zile shahada zinazogawiwa ovyo ovyo kama zile za kupigia kura siyo? Pathetic!Za asubuhi wadau, jana nimepigiwa simu kuwa niende kwenye usaili wa mchujo post Human Resource. Kwa anayejua hua wanalenga wapi hasa katika mchujo anisaidie. Nashukuru sana.
Nashukuru kwa ushauri wako mdau nadhani wewe upo mkamilifu kila idara ila bila shaka point yangu umeipata hayo mengine ni Baraza la kiswahili lingeshughulikia.Unless wewe ni mhaya, vinginevyo I can bet huwezi kufaulu huo usaili hata kidogo! Yaani wewe bila aibu neno Usaili unaandika Usahili, na unategemea kushinda huo usaili kweli? Serious? Kwahiyo wewe nawe una First Class degree? Au ni zile shahada zinazogawiwa ovyo ovyo kama zile za kupigia kura siyo? Pathetic!
siku hizi jf kama google
Nirifanya usaili hapo miaka 2 iliyopita,upande wa engineering, kwanza huwa kuna usaili wa kuandika,ukipita huo,unakuja usaili wa ana kwa ana( oral ).cha muhimu lazima ujue kazi za benki kuu ni zipi,zipo kama saba hv,hilo swali niriulizwa.
Jaribu pia kujua mambo mbalimbali ya wizara ya fedha.
Jipange vizuri tu,panel huwa inakuwa na watu kama 8,kila mmoja anakuuliza swali moja kutoka kwenye karatasi yake,
kwenye usaili wangu deputy governor alikuwepo
ALL THE BEST MAN
Unless wewe ni mhaya, vinginevyo I can bet huwezi kufaulu huo usaili hata kidogo! Yaani wewe bila aibu neno Usaili unaandika Usahili, na unategemea kushinda huo usaili kweli? Serious? Kwahiyo wewe nawe una First Class degree? Au ni zile shahada zinazogawiwa ovyo ovyo kama zile za kupigia kura siyo? Pathetic!
Nashukuru sana mdau. Kwa ufafanuzi wako
umeniangusha mkuu, mpe na picha kabisa huyo, anaacha ku google anakuja JF, sijui ttumsaidiaje, ila cha kumsaidia kuwa wanalenga kwenye viuongo vya uzazi, so asome sana maeneo ayo.
Unless wewe ni mhaya, vinginevyo I can bet huwezi kufaulu huo usaili hata kidogo! Yaani wewe bila aibu neno Usaili unaandika Usahili, na unategemea kushinda huo usaili kweli? Serious? Kwahiyo wewe nawe una First Class degree? Au ni zile shahada zinazogawiwa ovyo ovyo kama zile za kupigia kura siyo? Pathetic!
Kama wewe ni ke fika hapo BOT umuulizie mtu anaitwa Amatus Liyumba atakupa msaada na hiyo kazi utaipata
Unless wewe ni mhaya, vinginevyo I can bet huwezi kufaulu huo usaili hata kidogo! Yaani wewe bila aibu neno Usaili unaandika Usahili, na unategemea kushinda huo usaili kweli? Serious? Kwahiyo wewe nawe una First Class degree? Au ni zile shahada zinazogawiwa ovyo ovyo kama zile za kupigia kura siyo? Pathetic!
Tutawaita wote mkuu tunamalizia kupanga kwa kufuata majina husika and from who....