Happyness Nkya
Member
- Apr 3, 2014
- 20
- 0
Wadau nmeitwa interview utumishi kama afisa maendeleo ya jamii na afisa maendeleo ya vijana kwa aluefanya naomba possible qns kwa oral na written
Wadau nmeitwa interview utumishi kama afisa maendeleo ya jamii na afisa maendeleo ya vijana kwa aluefanya naomba possible qns kwa oral na written
Naombeni majibu kwa aliefanya interview plz
dah hapy wangu wa bwiru nin .ntakupa majibu mazur tafuta no afu nical .utanikuta dar si tumemalzana leo afsa ustaw wa jamii
Nuru me papy chulo ndio napataje no yako?
Haahahaha nyie watoto wa Mama Ntagaye a.k.a geloz nimewamisije. Em nendeni PM
Jamani mbona hamsemi exactly inakuaje afisa maendeleo ya jamii na afisa maendeleo ya vijana naomba kwa aliefanya written anijibu plzzzzzz wadau