Kwangu nimeishiwa units za luku na nimejaribu kununua kupitia Voda, Airtel bila mafanikio. Kuna tatizo gani?. Ndugu zangu wa Voda, Airtel toeni huduma iliyo na kiwango kwa wananchi.
Mimi pia ninatatizo kama lako. Nimejaribu pia kupitia kwa mawakala wa maxmalipo imeshindikana. Kwa maelezo ya hapa na pale, inaonekana tatizo lipo kwa mfumo wa luku wenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.