Nimeingizwa chaka

Mtu amekwambia atakipigia asa wewe unampigia kwanini??

Usione kimya Dada yupo anakupambania ili na wewe upate kidogo, ni vile tu ratiba zimeingiliana.
Ungetuma posho kidogo kuharakisha mchakato saa hii mama ingekuwa imeshakutafuta upo unaizaba mali.
 
Amenitafuta saa mbili kasoro toka saa tano asubuhi wala sijamjibu meseji yake maana na mimi nilinunua malaya
 
Sababu za kumuacha mke ni zipi?
 
Nenda kitambaa white utapata twiga
 
zamu yako ya kufanya nini? ulituma nauli? ya kutolea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…