Nimeibiwa sim lakini bado.iko hewani

Nimeibiwa sim lakini bado.iko hewani

pascasius kaiser

New Member
Joined
May 22, 2018
Posts
3
Reaction score
0
Wapendwa nisaidieni nimeibiwa simu ambayo mpaka sasa iko hewani mtu anapokea na haongei na akiongea ananizungusha tu,je kuna jins navoweza track kwa kutumia iyo namba ya simu ?maana emai namba yake sikua nayo
 
Wapendwa nisaidieni nimeibiwa simu ambayo mpaka sasa iko hewani mtu anapokea na haongei na akiongea ananizungusha tu,je kuna jins navoweza track kwa kutumia iyo namba ya simu ?maana emai namba yake sikua nayo
Kama huna Imei ya SIMU
Nenda kituo cha police watakusaidia mbinu Za kuipata
 
Kuwa hewani SIM CARD sio kigezo cha kupata simu yako ,isije ikawa alieiba simu alitupilia mbali SIM CARD alafu "Mlugaluga" mmoja aliokota anatesti mitambo,ndo maana aonge na akiongea aeleweki!..
 
Kuwa hewani SIM CARD sio kigezo cha kupata simu yako ,isije ikawa alieiba simu alitupilia mbali SIM CARD alafu "Mlugaluga" mmoja aliokota anatesti mitambo,ndo maana aonge na akiongea aeleweki!..
Huyo huyo ndo atalipa kila kitu
 
Nenda polisi haraka watakusaidia.
Fungua kesi....ya kuibiwa na hela nyingi....,
😀😀😀😀😀 Uwe na pesa ya kufuatilia polisi pia
 
Piga simu Call center wape taarifa ili waweze kuiblock hiyo laini otheyc inaweza commit cyber crime na ukakamatwa wewe au ikatumika kuwatapeli ndugu au jamaa zako...!
 
Back
Top Bottom