Ungewauliza waliokualika ungepata jibu sahihi,ukituuliza sie hatuwezi kukusaidia,hatukuwepo kwenye hizo harusiIlikuwa ni mwendo wa chai viandazi na vigodoro mtindo mmoja... Yaani hata hapa naandika nimetoka kugonga biriani la kuku kuna maalimu mmoja kuchukua jiko la pili leo.
Ninaposema ndoa kumi na mbili namaanisha waungwana..... Yaani ikitoka mtaa huu ni mtaa wa pili.
Mangi imebidi nijiulize kunani jamani mbona kuoana huku sikuwahi kushuhudia??? Na hizo ni nilizoalikwa tu, ukipita mtaani unakutana na maturubali na mziki wa kigodoro kila kona...
Jamani ng'iki mbona hivi ndugu zangu waislamu, kunani???
Ahaaaaaa... Nimecheka sanaWewe unachokitafuta utakipata yaani baada ya kushiba biriani ndiyo umepata nguvu ya kuja kukashifu imani ya watu ngoja waje
Mimi huwa Najiuliza Ndugu zetu Wakristo wanawezaje kubariki Ndoa ambayo haipo wala haijafungwa!
Mkikaa na kuzaa watoto mkiwa mnazini mnasema mnaenda kubariki Ndoa, unabariki Vipi ndoa ambayo haijawahi kufungwa?
Umenitamanisha vibibiPaprika unajua kupika muhogo kwa nazi na samaki pembeni? Kachori,katlessi,vibibi,visheti,sema kama wajua,tufunge na sisi,ila mwendo wa kimya kimya tu.
Umenilazimisha kucheka!Wewe unachokitafuta utakipata yaani baada ya kushiba biriani ndiyo umepata nguvu ya kuja kukashifu imani ya watu ngoja waje
Ukisikiaaaa paaaaaaaa ndukiiiMimi huwa Najiuliza Ndugu zetu Wakristo wanawezaje kubariki Ndoa ambayo haipo wala haijafungwa!
Mkikaa na kuzaa watoto mkiwa mnazini mnasema mnaenda kubariki Ndoa, unabariki Vipi ndoa ambayo haijawahi kufungwa?
Shukuria maalimu.Mkuu naona watu wanarukaruka na kuficha ukweli. Kipindi cha ramadhani tunaepuka zinaa hvyo inashauriwa kama huwez jizuia kwa kipindi cha mwez mtukufu ni heri uoe tu na kwa kuwa ndoa zetu talaka ruksa, bas after a month utaona talaka za mpigo.. Huu ndo ukweli, na kama huamin subiri ramadhani iishe. Ila ni jambo la heri kwa kuwa tunakwepa zinaa.
Ungeanza kutoa ufafanuzi zile za mwezi wa kumi na mbili ndio uhoji hiziIlikuwa ni mwendo wa chai viandazi na vigodoro mtindo mmoja... Yaani hata hapa naandika nimetoka kugonga biriani la kuku kuna maalimu mmoja kuchukua jiko la pili leo.
Ninaposema ndoa kumi na mbili namaanisha waungwana..... Yaani ikitoka mtaa huu ni mtaa wa pili.
Mangi imebidi nijiulize kunani jamani mbona kuoana huku sikuwahi kushuhudia??? Na hizo ni nilizoalikwa tu, ukipita mtaani unakutana na maturubali na mziki wa kigodoro kila kona...
Jamani ng'iki mbona hivi ndugu zangu waislamu, kunani???
Wew talaka hata mwenyez Mungu hataki kulisikia neno hiloMkuu naona watu wanarukaruka na kuficha ukweli. Kipindi cha ramadhani tunaepuka zinaa hvyo inashauriwa kama huwez jizuia kwa kipindi cha mwez mtukufu ni heri uoe tu na kwa kuwa ndoa zetu talaka ruksa, bas after a month utaona talaka za mpigo.. Huu ndo ukweli, na kama huamin subiri ramadhani iishe. Ila ni jambo la heri kwa kuwa tunakwepa zinaa.
Wamejaa huoni wenzio wanaopoa kila leoKwani love connect kuna waume?
Kumbe kunafulsaWamejaa huoni wenzio wanaopoa kila leo
Kitendo cha kujamiiana tayari ni ndoa. Tatizo inakua haina baraka za Mungu, ndipo wanapoenda kuibariki.Mimi huwa Najiuliza Ndugu zetu Wakristo wanawezaje kubariki Ndoa ambayo haipo wala haijafungwa!
Mkikaa na kuzaa watoto mkiwa mnazini mnasema mnaenda kubariki Ndoa, unabariki Vipi ndoa ambayo haijawahi kufungwa?