Wana jf leo voda wamenitenda vibaya kwani asubuhi line yangu ili jifunga ghafla nikaenda kwa agent akasema tui renew, wakaniuliza namba 5 nilizopiga nikawapa wamengandisha hadi muda huu wananambia kuwa zile namba 5hawazioni hivyo nirudi kesho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.